admin
MADDISON AGOMEA DILI LA KUIBUKIA MANCHESTER UNITED
JAMES Maddison kiungo wa Leicester City mwenye miaka 23, amemwambia shabiki mmoja kuwa anapenda kubaki hapo licha ya kuwa imekuwa ikielezwa anawindwa na Manchester...
BEKI HUYU WA SIMBA ATAJWA KUWA KIKWAZO KWA WATUPIAJI
DARUESH Saliboko, mshambuliaji wa Lipuli amesema kuwa Pascal Wawa ni miongoni mwa mabeki wagumu kupitika kutokana na nguvu, akili pamoja na mbinu zake.Wawa anakipiga...
RASTA HUYU MBUKINAFASO YUPO KWENYE RADA ZA SIMBA
SOGNE Yacouba, mshambuliaji anayekipiga ndani ya Asante Kotoko anatajwa kuingia anga za Simba na Azam.Yacouba mwenye miaka 28 inaelezwa kuwa mkataba wake unameguka msimu...
POGBA AINGIA ANGA ZA PSG, WAMUUNGANISHA NA DI MARIA
KLABU ya Paris St Germain,(PSG) inaelezwa kuwa imetuma ofa kwa Manchester United ili kupata saini ya kiungo mshambuliaji Paul Pogba.Pogba mwenye miaka 27 amekuwa...
UJUMBE WA RUVU SHOOTING KUHUSU CORONA
EDWARD Cristofa mshambuliaji wa Ruvu Shooting amesema kuwa kikubwa ni kila mmoja kuamini katika ndoto zake na kuchukua tahadhari dhidi ya Virusi vya Corona.Kwa...
BEKI COASTAL UNION AWAPA MASHARTI SIMBA NA YANGA ILI AMWAGE WINO
BEKI chipukizi anayekipiga ndani ya Klabu ya Coastal Union Bakari Mwamnyeto amesema kuwa anachotazama kabla ya kumwaga saini ndani ya timu ni maslahi pamoja...
KUNA WINGA MKONGO AMEZUNGUMZA NA YANGA,NDANI YA SPOTIXTRA ALHAMISI
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la SPOTIXTRA Alhamisi nafasi ya kushinda ndinga mpya ni yako
HATMA YA MLINDA MLANGO NAMBA MOJA WA AZAM FC MIKONONI MWA...
RAZACK Abarola, mlinda mlango namba moja wa Klabu ya Azam FC hatma ya kubaki ndani ya Klabu ya hiyo ipo mikononi mwa Kocha Mkuu,...
MWILI JUMBA WA YANGA ATAJA KINACHOMFELISHA
MSHAMBULIAJI wa Yanga mwili jumba, Yikpe Gnamien amesema kuwa kilichompoza ashindwe kuonesha makeke yake hivi karibuni ni kukalishwa benchi kwa muda mrefu.Ingizo hilo jipya...
TUSIVISAHAU VIWANJA VYETU KWA SASA KISA CORONA
KWA Tanzania hakuna mchezo wa soka wowote ambao unaendelea kwa sasa na hii ni kutokana na janga la Virusi vya Corona. Ligi Kuu Bara pamoja...