admin
MABOSI WA TIMU ZA ENGLAND HOFU TUPU
HOFU imeanza kutanda kwa mabosi wa timu mbalimbali zinazoshiriki Ligi Kuu England baada ya jana Serikali ya Ufarasa kufuta shughuli zote za mikusanyiko ikiwa...
HIKI NDICHO INAKIKOSA SIMBA NDANI YA LIGI KUU BARA
PASCAL Wawa, beki kisiki ndani ya Klabu ya Simba amesema kuwa ameukumbuka mpira kwa sasa pamoja na mashabiki.Wawa, raia wa Ivory Coast amekuwa mhimili...
DUH SASA SIMBA WAMEAMUA KUIPASUA YANGA, KUANZA NA HUYU MTUPIAJI NAMBA...
INAELEZWA kuwa mabosi wa Simba wanaiwinda saini ya nyota wa Yanga, David Molinga ili kuongeza nguvu ndani ya kikosi chao kwa sasa.Habari zinaeleza kuwa...
MCHEKA NA NYAVU MATATA AJIPELEKA YANGA, ATAMBA KUTATUA TATIZO PALE KATI
DARUES Saliboko, mshambuliaji wa Lipuli amesema kuwa kikosi cha Yanga kinamhitaji mshambuliaji kama yeye ili akatulize eneo la katikati ambalo anaamini huwa linakosa utulivu.Saliboko...
FEI AWATAKA WATANZANIA KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA CORONA
FEISAL Salum, kiungo wa Yanga amesema kuwa anaendelea kuchukua tahadhari dhidi ya Corona kwa kufanya mazoezi binafsi.Kwa sasa Ligi Kuu Tanzania Bara imesimamishwa na...
KAKOLANYA ACHEKELEA MAISHA NDANI YA SIMBA
BENO Kakolanya, mlinda mlango namba mbili wa Simba amesema kuwa anafurahia maisha anayoishi ndani ya kikosi hicho cha mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania...
HILI HAPA KOSI LENYEWE LA WANA KOMA KUMWANYA, MBEYA CITY
Kikosi cha Mbeya City kile chenyewe cha mwanzo kabisa msimu wa 2013/14 kilichokuwa kinajiita wana Koma Kumwanya: David Burhan (Marehemu), John Kabanda, Hassan Mwasapili,...
HAWA HAPA WAMESHIKILIA HATMA YA NYOTA MTIBWA SUGAR ANAYEWINDWA NA YANGA
DICKSON Job, beki chipukizi wa Mtibwa Sugar amesema kuwa anaweza kucheza timu yoyote ndani ya Bongo kutokana na uwezo wake alionao ila kuhusu timu...
KOSI KAZI LA NYOTA WA MTIBWA SUGAR ANAYEWINDWA NA YANGA LIPO...
HIKI hapa kikosi kazi cha kiungo wa Mtibwa Sugar anayetajwa kuingia kwenye rada za Yanga:-Metacha wa YangaAbdul wa YangaMwamnyeto wa Coastal UnionTshabalala wa SimbaYondani...
CORONA YAVURUGA DILI LA KOCHA LIGI KUU
KOCHA Mkuu wa Namungo FC, Hitimana Thierry inaelezwa kuwa janga la Virusi vya Corona limetibua dili lake la kusaini kandarasi mpya.Mkataba wa kocha huyo...