admin
CALLUM HUDSON-ODOI, NYOTA WA CHELSEA ALIYEKUTWA NA CORONA ASEMA ANAENDELEA VIZURI
MSHAMBULIAJI wa Chelsea, Callum Hudson-Odoi amesema kuwa kwa sasa anaendelea vizuri baada ya kufuata kanuni za afya ili kupona virusi vya Corona.Nyota huyo mwenye...
MBELGIJI WA YANGA AWASHANGAA WACHEZAJI WAKE KUPOTEZA MBELE YA KMC
LUC Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa ameshangazwa na wachezaji wake kupoteza mbele ya KMC licha ya kutoka kuimaliza Simba kwenye mchezo wa...
HII NOMA, MUUAJI WA SIMBA AWAPIGA MKWARA WA MAANA WATANI ZAKE
BERNARD Morrison, kiungo mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa watani zake wa jadi Simba washukuru kwa kuwa aliumia angewaliza kwa mabao mengi siku ya Machi...
SABABU YA AJIBU, KICHUYA, KAKOLANYA KUSOTA BENCHI HII HAPA, MZUNGU AWAPA...
SVEN Vandenbroeck, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wachezaji wake wote ni wazuri ila anashindwa kuwatumia kutokana na kushindwa kumshawishi pale wanapopata nafasi.Miongoni mwa...
NAMUNGO YAZITAKA POINTI TATU ZA YANGA
HITIMANA Thiery, Kocha Mkuu wa Namungo amesema kuwa kwa sasa kikosi chake kinajiandaa na mchezo wake wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga unaotarajiwa...
WABELGIJI WOTE WA YANGA NA SIMBA WAFANYA YAO SASA, NI NDANI...
NDANI ya CHAMPIONI jJumamosi kuna kila kitu kuhusu kkusimamishwa kwa Ligi Kuu England, kesho Jumamosi, Machi 14.
NYOTA SIMBA: USHINDANI WA NAMBA HAUKWEPEKI DUNIANI KOTE
GADIEL Michael, beki wa Simba amesema kuwa ushindani wa namba kwenye timu ni jambo la kawaida duniani kote na linaleta ukomavu kwa mchezaji. Nyota...
SIMBA:LIGI KUU INA USHINDANI MKUBWA
BEKI Kisiki wa Simba, Pascal Wawa amesema kuwa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu ina ushindani mkubwa jambo ambalo linawafanya wapasue kichwa kusaka matokeo...
CORONA YASIMAMISHA LIGI KUU ENGLAND KWA MUDA
LIGI Kuu ya England imesimamishwa kuanzia leo Machi 13 kwa muda wiki mbili inatarajiwa kurejea Aprili 3 kutokana na mlipuko wa Virusi vya Corona.Hatua...
POLISI TANZANIA: KAZI BADO IPO KWENYE LIGI
UONGOZI wa Polisi Tanzania umesema kuwa bado una kazi kubwa ya kufanya ndani ya Ligi Kuu ili kutimiza malengo waliyojiwekea msimu huu.Polisi Tanzania ipo...