admin
MBELGIJI WA YANGA AZIPIGIA HESABU POINTI TATU ZA LIPULI
LUC Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa wachezaji wake wapo tayari kupata ushindi mbele ya Lipuli ya Iringa.Yanga itacheza na Lipuli majira ya...
SASA KICHUYA NDANI YA SIMBA MAMBO SAFI, HATMA YAKE MIKONONI MWA...
KOCHA Mkuu wa Simba, Sven Vanderbroeck ameshikilia hatma ya nyota wake Shiza Kichuya kucheza kwa sasa ndani ya kikosi hicho.Kichuya ambaye ni kiungo mshambuliaji...
NAMUNGO FC MAJALIWA WABISHI KINOMANOMA
HITIMANA Thiery, Kocha Mkuu wa Namungo FC amesema kuwa ni kwenye Uwanja wao wa Majaliwa hakuna kilichofukiwa zaidi ya jitihada za wachezaji kutafuta matokeo.Kwenye...
SINGIDA UNTED: MWISHO WA MAUMIVU YETU UNAKUJA, MASHABIKI SAPOTI MUHIMU
UONGOZI wa Singida United umesema kuwa leo utapambana kupata ushindi mbele ya Biashara United kwenye mchezo wao utakaochezwa Uwanja wa Karume.Singida United imekuwa na...
HIVI NDIVYO IBRAHIM AJIBU ALIYOIOKOA SIMBA USIKU MBELE YA POLISI TANZANIA
IBRAHIM Ajibu, Kiungo mshambuliaji wa Simba jana Uwanja wa Taifa aliiokoa Simba usiku mikononi mwa Polisi Tanzania kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara wakati...
NDANDA V MBAO LEO HAPATOSHI NANGWANDA
LEO Uwanja wa Nangwanda Sijaona kutakuwa na mchezo wa kukata na shoka kati ya Ndanda FC dhidi ya Mbao FC ya Mwanza.Mechi ya leo...
MOLINGA APOTEZWA JUMLAJUMLA KWA MABAO NA KIUNGO HUYU WA SIMBA
HASSAN Dilunga, Kiungo mshambuliaji ambaye ni mzawa amempoteza mshambuliaji namba moja wa Yanga, David Molinga raia wa Congo kwenye mechi nne za mwezi Januari...
KAGERA SUGAR YAWAITA MASHABIKI KAITABA, YAZITAKA POINTI TATU ZA MWADUI
UONGOZI wa Kagera umewataka mashabiki kujitokeza kwa wingi leo Uwanja wa Kaitaba kushuhudia burudan mbele ya Mwadui FC saa 10:00.Akizungumza na Saleh Jembe, Kocha...
TANZANIA PRISONS KUINGIA KWA TAHADHARI MBELE YA AZAM FC
ADOLF Rishard, Kocha Mkuu wa Tanzania Prisons amesema kuwa ataigia kwa tahadhari mbele ya Azam FC kwenye mchezo wao wa leo, Februari 5, wa...
MBELGIJI WA YANGA KWENYE MTIHANI MWINGINE MGUMU LEO
LUC Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga, raia wa Ubelgiji leo atakabiliwa na mtihani wake wa sita ndani ya Ligi Kuu Bara kwa kucheza na...