admin
LUC EYMAEL AKIAMSHA TENA, AWALALAMIKIA MBEYA CITY
Kocha wa Yanga, Luc Eymael amesema kuwa sababu iliyopeleka kushindwa kupata pointi tatu dhidi ya Mbeya City ni kutokana na aina ya mchezo waliocheza...
HIVI NDIVYO MKAZI WA MBEYA ALIVYOSHINDA ZAIDI YA MILIONI 125 ZA...
KAMPUNI ya Michezo ya Kubashiri ya Premier Bet Tanzania imemtangaza mkamalia mmoja mjanja ambaye ameshinda zaidi ya milioni 125 kwenye mkeka wake wikiendi hii. Mteja...
KOBE BYRANT AZIKWA KWA SIRI
VYOMBO mbalimbali vya habari nchini Marekani vimethibitisha kuwa Mchezaji maarufu wa Mpira wa Kikapu, Kobe Byrant (41) na mwanaye, Gianna Maria-Onore Bryant ‘Gigi’ (13)...
KINACHOIBEBA AZAM FC HIKI HAPA NDANI YA LIGI KUU BARA
IDD Cheche, Kocha Msaidizi wa Azam FC amesema kuwa kikubwa kinachowapa ushindi ni wachezaji kujituma ndani ya uwanja na ushirikiano wao.Azam FC jana ilishinda...
JOHN BOCCO BALAA LAKE MBELE YA MTIBWA LILIKUWA NAMNA HII
JOHN Bocco nahodha wa timu ya Simba jana amekiongoza kikosi chake kulipa kisasi cha kuchapwa bao 1-0 mbele ya Mtibwa Sugar kwenye mchezo wa...
HIVI NDIVYO YANGA ILIPOKUBALI KULAZIMISHA SARE YA KUFUNGANA BAO 1-1 NA...
BERNARD Morrison, mshambuliaji wa Yanga, jana ameonyesha ushujaa wake mbele ya Mbeya City kwa kufunga bao kwenye sare ya kufungana bao 1-1 mchezo wa...
DILUNGA AWAOMBA RADHI MABOSI WAKE WA ZAMANI MTIBWA BAADA YA KUWATUNGUA
HASSAN Dilunga, kiungo wa Simba ambaye alijiunga na Simba akitokea Mtibwa Sugar amesema kuwa anaomba radhi kwa mashabiki wake kwa kuwafunga moja bao kwenye...
MTIBWA SUGAR YAELEZA KILICHOWAPONZA MBELE YA SIMBA
ZUBERI Katwila, Kocha Mkuu wa Mtibwa Sugar amesema kuwa kilichoiponza timu yake kupoteza kwa kufungwa mabao 3-0 mbele ya Simba ni kushindwa kuwazuia wapinzani...
AMBULACE YAZUA KIZAAZAA LIGI KUU BARA
MCHEZO wa Ligi Kuu Bara kati ya Ruvu Shooting na Tanzania Prisons ambao ulipaswa uchezwe jana, Februari 11,2020 Uwanja wa Mabatini uliahirishwa na unasubiria...