admin
JESHI LA YANGA HILI HAPA LEO DHIDI YA PAMBA FC
LEO Pamba inawakaribisha Yanga mabingwa wa kihistoria wa Ligi Kuu Bara wakiwa wametwaa ubingwa huo mara 27. Jeshi la Yanga litakaloanza leo hili hapa...
KERR AFIWA NA MAMA YAKE MZAZI
Kocha wa zamani wa Simba, Muingereza, Dylan Kerr, amefikwa na mama yake mzazi.Kerr ameeleza kuwa mama yake alikuwa akiumwa kwa muda mrefu na ndicho...
MWANARIADHA AJUNGA NA KLABU YA SOKA
Bingwa mara mbili wa mbio za mita 800 kwenye michezo ya Olimpiki, Caster Semenya (28) ameanza kujiandaa kwa maisha mapya nje ya riadha baada...
MAGORI AACHIA NGAZI RASMI SIMBA, CEO MPYA KUTOKA AFRIKA KUSINI ATANGAZWA
Ifisa Mtendaji mpya Simba, Senzo Mazingisa, ametambulishwa leo jijini Dar es Salaam na Crescentius Magori anayemaliza muda wake.Baada ya utambulisho huo, Magori amesema Mazingisa...
SAMATTA AITAKA BARCELONA
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta amefichua kuwa alitamani kuona timu yake inapangwa na klabu ya Barcelona au Real Madrid katika michuano ya...
NGUVU YA SALEH JEMBE YAONEKANA, USHINDI WA MABAO 2-1 WAACHA HISTORIA
PAMBANO la kukata na shoka kati ya timu ya Waliooa FC dhidi ya Wasiooa FC zote za Makampuni ya Global Group, jana Ijumaa, lilimaliza...
YANGA KUMENOGA, MAMIMLIONI KAMA YOTE SASA MEZANI
Klabu ya Yanga imeendelea na harambee ya ukusanyaji fedha kwa ajili ya kuendesha shughuli mbalimbali klabuni hapo.Harambee hiyo imepewa jina la Kubwa Kuliko,Jana ilifanyika...
NYOTA STARS : ITAKUWA BAHATI KWA BURUNDI KUPONA TAIFA
SIMON Msuva, mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania amesema kuwa itakuwa ngumu kwa Burundi kupenya Uwanja wa Taifa.Mchezo wa kwanza wa kufuzu Fainali za Kombe...
MUONEKANO WA GAZETI LA CHAMPIONI KATIKA UKURASA WA MBELE LEO JUMAMOSI
MUONEKANO WA GAZETI LA CHAMPIONI KATIKA UKURASA WA MBELE LEO JUMAMOSI