admin
KAGERA SUGAR YAANDAA DOZI KAITABA
MECKY Maxime, Kocha Mkuu wa Kagere Sugar amesema kuwa wataendelea kutoa dozi ndani ya Uwanja wa Kaitaba ili kuongeza nafasi ya kufikia malengo ambayo...
EYMAEL WA YANGA AZIPIGIA HESABU POINTI TATU ZA RUVU SHOOTING NAMNA...
LUC Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa leo vijana wake watapambana kuzipata pointi tatu za Ruvu Shooting.Yanga inashuka Uwanja wa Uhuru kumenyana na...
SIMBA WATOA TAMKO KUHUSU KICHAPO CHAO CHA PILI NDANI YA LIGI
UONGOZI wa Simba umesema kuwa umefungwa na timu iliyokuwa bora ndani ya Ligi Kuu Bara.Simba ilifungwa bao 1-0 na JKT Tanzania kwenye mchezo wa...
IGHALO: MAMA ALILIA ALIPOSKIA NATUA UNITED, ISHU YA MSHAHARA HAIKUMPA TABU
ODION Ighalo, mshambuliaji mpya wa Manchester United amesema kuwa alikubali kupunguzwa mshahara ili atimize ndoto yake ya kucheza ndani ya Old Trafford.Ighalo, aliyewahi kuichezea...
BARCELONA KUFANYA USAJILI MAALUMU KUOKOA JAHAZI, MAJEMBE HAYA YATAJWA
IMEELEZWA kuwa Klabu ya Barcelona inaweza kufanya usajili maalumu msimu huu ili kuongeza nguvu kwenye kikosi chake.Kwa sasa kikosi hicho kina wachezaji wawili ambao...
SIMBA : WAPINZANI WETU WALIKUWA VIZURI, TULISHINDWA KUTUMIA NAFASI
JOHN Bocco, nahodha wa Simba amesema kuwa kilichowaponza washindwe kupata matokeo mbele ya JKT Tanzania, Uwanja wa Uhuru ni kushindwa kutumia nafasi walizozipata.Simba ilichapwa...
KOCHA AFICHUA CHANZO CHA NCHIMBI
KOCHA Mkuu wa Yanga, Luc Eymael, ameweka wazi kwamba alimtumia mshambuliaji wake, Ditram Nchimbi baada ya straika huyo kumuomba msamaha kufuatia kuondoka kikosini bila...
KAGERE, KAHATA KUMEKUCHA SIMBA
MEDDIE Kagere, kinara wa utupiaji ndani ya Ligi Kuu Bara msimu huu, pacha yake na mchezaji mwenzake wa zamani walipokuwa Gor Mahia ya Kenya,...
BAADA YA KUMUUA KIONGOZI MKUBWA IRAN, MAREKANI YAUA MWINGINE, TRUMP AFUNGUKA
Marekani imemuua kiongozi wa Al-Qaeda katika eneo la Rasi ya uarabuni, Rais Donald Trump ameeleza.Qasim al-Raymi aliyeongoza kikundi cha Jihad tangu mwaka 2015, aliuawa...
MO AMPIGIA SALUTI NIYONZIMA
KITENDO cha kiungo wa Yanga, Mohamed Issa ‘Mo Banka’, kuamua kumvulia jezi namba 8 na kumpatia kiungo wa zamani wa kikosi hicho Haruna Niyonzima...