admin
KMC WATAJA SABABU YA KUPOTEZA MBELE YA AS KIGALI LEO TAIFA
JUMA Kaseja nahodha wa timu ya KMC amesema kuwa kilichowaponza leo kushindwa kutusua mbele ya AS Kigali ni kuruhusu makosa yaliyowapa ushindi wapinzani wao...
KMC YAONDOLEWA KOMBE LA SHIRIKISHO CAF, YAPIGWA 2-1 NA AS KIGALI...
Mechi ya mkondo wa pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya KMC FC dhidi ya AS Kigalo kutoka Rwanda imemalizika kwa wenyeji kukubali...
KIKOSI CHA KMC DHIDI YA AS KIGALI HIKI HAPA
Kikosi cha KMC dhidi ya As Kigali, mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika1. Juma Kaseja2. Boniface Maganga3. Amosi Kadikilo4. Abdallah Mfuko5. Yusuph Ndikumana6. Ally...
HIZI NDIZO SEHEMU AMBAZO TIKETI ZA MECHI SIMBA NA UD SONGO...
Uongozi wa klabu ya Simba umetangaza sehemu ambazo tiketi za mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya UD Songo ya Msumbiji zinauzwa.
AS KIGALI LAZIMA WAKE LEO
JACKSON Mayanja, Kocha Mkuu wa KMC amesema kwa sasa kikosi kipo sawa kumalizana na AS Kigali ya Rwanda kwenye mchezo wa marudiano utakaochezwa leo...
FEDHA ZA LUKAKU KUFANYIWA MATUMIZI HAYA MAN UNITED
Manchester United itakabiliwa na deni la mshahara la pauni milioni 12 kwa mchezaji Alexis Sanchez hata kama atasajiliwa na klabu ya Inter Milan. (ESPN)Sanchez,...
KUPANDA NA KUPOTEZWA KWA COUTINHO
PHILIPPE Coutinho amekimbilia Bayern Munich ili kuokoa soka yake baada ya kushindwa kutamba Barcelona. Kiungo huyo wa Kibrazili aliamua kuondoka Liverpool katika kipindi ambacho...
LIGI YA MSIMU UJAO UKIVAA TU HOVYO UNATIMULIWA NJE YA UWANJA
BODI ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPBL) imesema imebadilisha baadhi ya mfumo wa uendeshaji wa masuala mbalimbali ikiwemo suala la mavazi ya makocha. Mtendaji...
WAPINZANI WA YANGA WAINGIWA NA MCHCHETO MKUBWA
Shoo ya Yanga na Township Rollers kwenye mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika itapigwa jijini hapa Jumamosi saa 10:30 jioni lakini jamaa...
MUONEKANO WA GAZETI LA CHAMPIONI KATIKA UKURASA WA MBELE LEO IJUMAA
MUONEKANO WA GAZETI LA CHAMPIONI KATIKA UKURASA WA MBELE LEO IJUMAA