admin
SIMBA YAWATAKA MASHABIKI KUZIUNGA MKONO YANGA, KMC NA AZAM FC KIMATAIFA
UONGOZI wa Simba umesema kuwa thamani ya mashabiki kwa klabu yao ni kubwa kuliko chochote kwani wao wanabeba siri ya mafanikio. Jumapili ya wiki...
MENEJA WA MACHESTER UNITED AMKINGIA KIFUA POGBA
MENEJA wa Manchester United, Ole Gunnar Solskajaer amesema kuwa hakuna tatizo kwa kiungo wake Paul Pogba kushindwa kufunga penalti kwani ni sehemu ya mchezo.Manchester...
ZAHERA ALIANZISHA HUKO YANGA, KAKOLANYA NAYE AGOMEA SIMBA, NI KESHO CHAMPIONI...
KESHO ndani ya CHAMPIONI Jumatano kuna ishu ya mchezaji mmoja wa Yanga kufyekwa na Zahera, Kakolanya agomea ishu ya Simba, kuna bonge moja ya...
WEMA SASA KUPATA MTOTO
KAMA ni kiu ya kupata mtoto kwa sasa mwigizaji nyota wa filamu Bongo, Wema Isaac Sepetu amefika kisimani; kinachosubiriwa ni kuteka maji na kuyanywa;...
DUH! MATIZI YA AZAM FC NOMA
AZAM FC wamepania kufanya kweli kwenye mchezo wa kimataifa wa marudio dhidi ya Fasil Kenema ya Ethiopia utakaochezwa Jumamosi Uwanja wa Chamazi.Azam FC wanaendelea...
MAURIZIO SARRI HATIHATI KUIKOSA PARMA JUMAMOSI, HALI YAKE SIO NJEMA
UONGOZI wa Juventus umethibitisha kwamba kocha wao Maurizio Sarri anasumbuliwa na Nimonia na ripoti zimethibitisha kuwa mapafu yake yapo katika hali mbaya sana.Sarri huenda...
ULE USAKWAJI WA WATANO WALIOMTEKA MO DEWJI WAFIKIA HAYUA HII
Imeripotiwa kuwa watuhumiwa watano wanaendelea kusakwa na polisi kwa ajili ya kuunganishwa katika kesi ya kutekwa kwa Mfanyabiashara kijana bilionea, Mohammed Dewji 'Mo'.Upande wa...
SIMBA KUPOKEA TUZO CAF
Uongozi wa klabu ya Simba kupitia Ofisa Habari wake Haji Manara, umesema kuwa unaweza kupata tuzo kutoka CAF ya kujaza Uwanja wa Taifa jijini...
MAKONDA AMLIPUA DIAMOND JUU YA ISHU YA NDOA – VIDEO
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Paul Makonda leo Agost 20, 2019 amezungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam baada ya...