admin
SAFARI YA MABINGWA WA TPL SIMBA KIMATAIFA INAKWENDA NAMNA HII
Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) limetoa ratiba ya Ligi ya Mabingwa barani Afrika kwa msimu ujao wa 2019/20.Mabingwa wa Tanzania Bara Simba SC wamepangwa...
SABABU YA KCCA KUNYAKUA UBINGWA WA KAGAME MIKONONI MWA AZAM FC...
ALLAN Okello, mshambuliaji wa timu ya KCCA ya Uganda amesema kuwa kilichowapa ubingwa wa kombe la Kagame ni kucheza wakiwa timu.KCCA jana walitwaa ubingwa...
DU! MUSONYE WA CECAFA NI PASUA KICHWA KWELI KUSUSU SIMBA NA...
NICHOLAUS Musonye, Katibu Mkuu wa CECAFA amesema kuwa Simba na Yanga hata kama wangeshiriki wasingepata kitu.Michuano ya Kagame imemalizika jana ambapo Azam FC ambao...
KMC KIMATAIFA USO KWA USO NA NYOTA WA SIMBA
TIMU ya KMC wana kino kwenye michuano ya Kimataifa ambayo wanashiriki msimu huu kwenye kombe la Shirikisho wao wanakwenda Rwanda.Mchezo wa kwanza utakuwa dhidi...
AZAM FC WAO KIMATAIFA RATIBA YAO IMEKAZA NAMNA HII
KUMEKUCHA kimatafa ambapo mabingwa wa kombe la Shirikisho Azam FC, itaenyana na Fasil Kenema ya Ethiopia kwenye raundi ya awali ya michuano ya Kombe...
HUYU NDIYE MBADALA WA LEROY SANE NDANI YA BAYERN MUNICH
Bayern Munich wanaangalia uwezekano wa kumtaka winga wa Kimataifa wa Ivory Coast na Crystal Palace, Wilfred Zaha (26) ili kuwa mbadala wa Leroy Sane...
SASA WAKATI WA KUONA TOFAUTI YA AJIBU GIRLFRIEND NA AJIBU HUSBAND
NA SALEH ALLYBAADA ya picha za video kusambaa mtandaoni zikimuonyesha Ibrahim Ajibu Migomba akiwa katika mazoezi ya gym, mjadala ukazuka kama ataweza kuvumilia kutokana...
LIVERPOOL YATHIBIITISHA SADIO MANE KUIKOSA MANCHESTER CITY
JURGEN Kloop, Meneja wa Liverpool amesema Sadio Mane ataukosa mchezo wa Ngao Jamii (Community Shield) dhidi ya Manchester City uwanja wa Wembley Agosti 4.Mane...
USAJILI WA WACHEZAJI WA NJE NI LAZIMA, LAKINI LAZIMA MUWE NA...
NA SALEH ALLYWAKATI huu ndio ule ambao gumzo zaidi ni kuhusiana na usajili wa wachezaji wapya ambao msimu ujao watakuwa na klabu zao kwa...
UNITED WAWEKEWA UGUMU KUMPATA NYOTA WA NEWCASTTLE UNITED
SEAN Longstaff nyota wa Newcasttle United ameingizwa kwenye rada za Manchester United kwa ajili ya msimu ujao huku ikielezwa kuwa kuna ugumu wa kumpata.Meneja...