Home Authors Posts by admin

admin

24381 POSTS 9 COMMENTS

LEO NDIO LEO, KUBWA KULIKO KUFANA, MOJA KWA MOJA AZAM TV

0
LEO Jumamosi, Juni 15, Kubwa Kuliko itazinduliwa rasmi ukumbi wa Diamond Jubilee, Upanga jijini Dar es Salaam na wanachama pamoja na viongozi wa Yanga...

POLOKWANE FC WAIKOMALIA SIMBA ISHU YA BOCCO

0
KAMA mipango ikienda sawa huenda nyota wa Simba, Adam Salamba akatua Afrika Kusini kukipiga klabu ya Polokwane FC.Dili hilo limekuja baada ya dili la...

WATANO AMBAO TAYARI WAMESHAMWAGA WINO SIMBA KILICHOBAKI NI PICHA ZAO KUACHIWA

0
Baada ya aliyekuwa kipa wa Yanga, Beno Kakolanya kumwaga wino wa miaka miwili jana na wekundu wa Msimbazi, Simba SC, imeelezwa kuna wengine tayari...

AJIBU KUTANGAZWA SIMBA LEO

0
Kuna uwezekano mkubwa aliyekuwa mchezaji wa Yanga kwa msimu uliomalizika hivi karibuni, Ibrahim Ajibu akatangazwa kusajiliwa na Simba.Taarifa zinasema kuwa Ajibu tayari ameshamalizana na...

STARS WAPEWA CHAPUO KUTUSUA AFCON

0
SAMUEL Etoo mchezaji wa zamani wa timu ya Taifa ya Cameroon,Barcelona, Chelsea na Inter Milan amesema kuwa Stars ina nafasi ya kufanya maajabu endapo...

Kwanini tunasita kumwiita Manula , Tanzania one?

0
Wakati niko shule msingi nilikuwa najaradia madaftari yangu kwa magazeti ya michezo. Nilikuwa mteja mkubwa sana wa magazeti haya. Nilipenda kuyasoma, nilikuwa nafanya...

STARS KUOGELEA MIZAWADI KIBAO AFCON

0
Michuano ya Afcon ambayo inatarajiwa kuanza Juni 21 nchini Misri sio ya kitoto kwani bingwa wa michuano hiyo analamba mkwanja mrefu.Tanzania inapeperusha Bendera kwenye...

KABLA YA JUNI 30 MRITHI WA NDAYIRAGIJE KUJULIKANA

0
UONGOZI wa KMC umesema kuwa kwa sasa unaendelea na mchakato wa kumtafuta Kocha Mkuu atakayebeba mikoba ya Etienne Ndayiragije aliyetimkia Azam FC.Akizungumza na Salehe Jembe,...

KALA JEREMIAH AJIANDAA KUVUTA JIKO

0
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Kala Jeremiah amesema kuwa kwa sasa anapambana kujitoa kwenye dhambi moja ya kuzini kwa kujipatia jiko lake hivi...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS