Marce Ben Komba
JE AZIZ KI ANAONDOKA YANGA…WAKALA WAKE AFUNGUKA MAMELODI WATAJWA…ISHU NZIMA IKO...
Umesikia huko @soccer_laduma wameripoti kuwa Wakala wa mchezaji wa Young Africans, Aziz Ki anayefahamika kwa jina la @zambro_sport_management_ Traore amekiri kusikia taarifa za mchezaji...
KLABU HII LIGI KUU YAANGAMIA…HALI NI TETE MAAJABU PEKEE NDIO YATAIKOMBOA…ISHU...
Kuna namna mbili ambazo zinaweza kuiokoa Mtibwa isishuke daraja ambazo ni kumaliza ikiwa juu ya nafasi ya 13 ambapo itabaki moja kwa moja ama...
KOCHA MFARANSA ATELEKEZA TIMU HII BONGO..AGOMBANA NA WACHEZAJI NA VIONGOZI.
Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Tabora United Mfaransa, Denis Laurent Goavec ameondoka ndani ya timu hiyo ikiwa ni mwezi mmoja tu tangu ajiunge nayo akichukua...
KOMBE LA SHIRIKISHO LAVURUGWA NA SIASA…CAF WAINGILIA KATI…WATOA USHINDI WA MEZANI...
Shirikisho la Sola Barani Afrika (CAF) limewapa Klab ya RS Berkane ushindi wa Mabao 3 dhidi ya USM Algers ya nchini Algeria.
Matokeo haya ni...
KOCHA MSIMBAZI…SIMBA INJAKABILIWA NA WACHEZAJI WENGI WALIOKOSA KASI…ISHU NZIMA IPO HIVI
Kama kuna kitu kinawaumiza Simba basi ni kitendo cha kikosi chao kupoteza mechi zote mbili za Ligi Kuu Bara ndani ya msimu mmoja tena...
JKT TANZANIA YALAMBA MAMILIONI HAYA…NI BAADA YA KUWABANIA YANGA…LUTENI KANALI AFANYA...
Maafande wa JKT Tanzania wamelamba Sh30 milioni baada ya kutoka suluhu (0-0) katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Yanga kwenye Uwanja...
FEI TOTO AANZA TAMBO AZAM FC…AWATAJA MABEKI HAWA ANAWAOGOPA…AMEFUNGUKA HAYA
Kiungo wa Azam FC, Feisal Sulum 'Fei Toto' amewataja mabeki wanaompa changamoto awapo uwanjani na kumfanya atumie akili nyingi kupenya katikati yao, akisema wawili...
KUMBE HIKI NDIO CHANZO CHA SIMBA KUFUNGWA NA YANGA…ISHU NZIMA A-Z...
Mchambuzi wa masuala ya soka kutoka EFM Radio, George Ambangile amesema kuwa mchezaji aliyevuruga mfumo wa Simba SC kwenye dabi ya Kariakoo ni mshambuliaji...
MOTO WA YANGA WAIKUMBA LIGI KUU MOROCCO…NABI AFANYA MAAJABU HAYA
Kile ambacho alikifanya Kocha wa zamani wa Yanga Nasreddine Nabi akiwa na Wananchi ameendeelea kukifanya kule Morocco akiwa na FAR Rabat.
Hadi sasa FAR Rabat...
WACHEZAJI WA YANGA WATIMULIWA AZAM COMPLEX…WALIKUWA WAKIFANYA MAZOEZI…ISHU NZIMA IPO HIVI
Wakati Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo ukishindwa kutumika kwenye mechi ya Ligi Kuu kati ya JKT Tanzania dhidi ya Yanga, kutokana na sehemu ya...