Home Authors Posts by Marce Ben Komba

Marce Ben Komba

659 POSTS 0 COMMENTS
Content Creator | Web Specialist Certified by Google | Digital Marketing Officer Certified by Google | Creative Graphic Designer Certified by California institute of the arts | SEO Expert Certified by Hubspot Contact marcekomba@gmail.com

BOCCO AKABIDHIWA MIL 35…NI ILE AHADI YA MAMA SIMBA…IKISHINDA DHIDI YA...

0
WAZIRI wa Utamaduni Sanaa na Michezo, Dk. Pindi Chana akimkabidhi Nahodha wa Simba SC, John Bocco Sh. Milioni 35 za ahadi ya Rais wa...

TAIFA STARS YAPAA KUELEKEA MISRI KUIKABILI UGANDA

0
KIKOSI cha timu ya soka ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, kimeondoka alfajiri ya leo kuelekea nchini Misri kwa ajili ya mchezo wa kufuzu...

KENNEDY MUSONDA MBABE…YANGA SC 2-0 US MONASTIR…DONDOO MUHIMU ZA MCHEZO HUU

0
Habari za Yanga
KENNEDY Musonda ameivusha Yanga kwenda robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kufuatia bao na asisti aliyotoa leo, Jumapili dhidi ya Monastir kwenye Uwanja...

FT: YANGA SC 2-0 US MONASTIR…CAFCC…BENJAMIN MKAPA…19.03.2023

0
Wananchiiiiiiiiiìiiiiiiiiii Usiku wa deni haukawii kukuchwa. Leo ndiyo ile siku tuliyoisubiri kwa hamu kwa Yanga kukata tiketi ya kutinga robo fainali ya michuano ya CAFCC. Saa...

MAMA SAMIA:- SIMBA NA YANGA WEKENI MAGOLI NYAVUNI…MIL TANO TANO BADO...

0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameendelea kuwapa nguvu vilabu vya Simba na Yanga ambao wapo kwenye michuano ya kimataifa...

YANGA YAMRUDISHA MATOLA CHAP

0
BAADA ya Simba Queens kutembeza kichapo cha mabao 7-0 kwa The Tigers Queens ya Arusha sasa hasira za vinara hao wa Ligi Kuu ya...

HALI TETE UWANJA WA MKAPA…MVUA KUBWA YANYESHA UWANJA UMEJAA MAJI

0
Mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam zimeanza kujaza maji baadhi ya eneo la kuchezea la Uwanja wa Benjamin Mkapa. Mvua hizo ambazo zimeanza kunyesha...

MABOSI WA YANGA WAWEKA MIL 150 MEZANI…WACHEZAJI WALIPWA BONUS ZAO ZOTE

0
YANGA ina dakika 90 za kuthibitisha ubora wao kwenye Kombe la Shirikisho Afrika itakapoikaribisha US Monastir ya Tunisia, huku mastaa wa timu hiyo wakiwapiga...

PRINCE DUBE NI HATARI…UJANJA WAKE NDANI YA 18

0
Ujanja wa Prince Dube muuaji anayetabasamu kutupia ndani ya ligi ni akiwa ndani ya 18 ambapo katupia kamba tano akiwa eneo hilo huku akitupia...

SAMATTA ATAMBA KRC GENK…ANAKIWASHA BALAA…MAGOLI NA PASI USISEME

0
Straika wa Kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta ameendelea kuwa mchezaji muhimu katika Timu yake ya Genk siku za hivi karibuni na hii ni baada...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS