Home Authors Posts by Marce Ben Komba

Marce Ben Komba

790 POSTS 0 COMMENTS
Content Creator | Web Specialist Certified by Google | Digital Marketing Officer Certified by Google | Creative Graphic Designer Certified by California institute of the arts | SEO Expert Certified by Hubspot Contact marcekomba@gmail.com

SIMBA NA YANGA ZAIPANDISHA VIWANGO TANZANIA KISOKA…YAPANDA NAFASI TATU CHAP

0
Baada ya Klabu ya Simba SC kuifunga timu ya Horoya AC kwa bao 7-0 na kufanikiwa kuingia hatua ya robo fainali ya Klabu Bingwa...

MOLOKO NI ZAIDI YA AZIZ KI…WANA YANGA HAWAMPI HESHIMA..ANACHANGIA SANA USHINDI

0
Jesus Ducapel Moloko ni mchezaji ambaye hapewi heshima na sifa inayomstahili kwenye soka la Bongo. Anachukuliwa poa sana lakini mchango wake kwenye mafanikio ya Yanga...

SILAHA ZA TAIFA STARS SAFARINI…WAIFATA TIMU NCHINI MISRI

0
Wachezaji wa Tanzania wanaocheza Ubelgiji, kutoka kulia Mbwana Samatta (KRC Genk), Novatos Dismass (Zulte Weregem) na Kelvin John (KRC Genk) wameanza safari kwenda nchini...

ALI KAMWE:_ STRAIKA WAO ANAPIGA KICHWA KAMA KONDOO…YANGA VS US MONASTIR...

0
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Yanga, Ally Kamwe amesema kikosi cha timu hiyo kimetoa somo namna ya kuzifunga timu kutoka Kaskazini...

KOCHA GEITA GOLD:- WALETENI HAO YANGA…TUNAAPA KULIPA KISASI

0
BAADA ya kupangwa na Yanga, kocha mkuu wa Geita Gold, Fredy Felix ‘Minziro’ amesema kabla ya droo kuchezeshwa alijiandaa kisaikolojia kuikabili timu yoyote atakayopangiwa...

MAYANGA ATENGENEZEWA UFALME MITBWA SUGAR…KOCHA ATHIBITISHA

0
MSHAMBULIJI wa Mtibwa Sugar, Vitalis Mayanga amesema licha ya kuanza taratibu na kikosi hicho ila mashabiki wake watarajie makubwa zaidi. Nyota huyo alijiunga na timu...

AZAM FC HAINA KUPOA…TIZI MWANZO MWISHO

0
KOCHA Mkuu wa Azam, Dani Cadena amesema kikosi hicho hakitakuwa na mapumziko katika kipindi hichi cha michezo ya kimataifa isipokuwa ni kwa wale tu...

LIGI KUU BARA KADI 600 ZATOLEWA…MGUNDA AMKANA KANOUTE…”NAMUONYA SANA HASIKII

0
LIGI Kuu Bara kwa imesimama kupisha mechi za kimataifa za timu ya taifa, Taifa Stars dhidi ya Uganda The Cranes sambamba na mechi za...

MAGAZETI YA LEO: GARI LIMEWAKA UNYAMA MWINGI…WAARABU WAMEJUWA KAMA HAWAJUI

0
Good Morning Mwanamichezo March 19, 2023,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya leo Tanzania

KOCHA WA TAIFA STARS…AWATAFUTA KAPOMBE NA TSHABALALA

0
KOCHA mpya wa timu ya taifa, Mualgeria Adel Amrouche akizungumza na mabeki wa Simba SC, Shomari Kapombe (katikati) na Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ (kushoto) baada...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS