Staff Desk
ROBERTINHO…. WAACHENI WAJE, WAACHENI WAJE….. GAMONDI HATANII ASEMA MAMBO BADO
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
BAADA YA KUPANGIWA AL AHLY……..SIMBA: TUNADAWA YAO
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
SIMBA HII YAKIMATAIFA ROBERTINHO AIFUA UPYA
Uongozi wa Simba umeweka wazi kuwa muda uliopo kwa sasa ni benchi la ufundi chini ya Kocha Mkuu, Roberto Oliveira kusuka silaha za maangamizi...
MANYAUNYAU AFICHUA SIRI YA SIMBA KUMFUNGA YANGA
Mganga Manyau nyau amefunguka yeye ni shabiki wa Simba SC amesema timu yake msimu huu itabeba vikombe vyote sababu kwenye kamati ya ufundi kwa...
HAWA HAPA MASTAA WALIOITWA TIMU ZA TAIFA, SIMBA, YANGA
Ligi Kuu ya NBC kwa sasa imesimama kupisha ratiba ya michuano ya CAF kwa timu za taifa kufuzu fainali za AFCON 2023.
Hawa ni wachezaji...
VIONGOZI WA SIMBA WAJITANGAZIA MAKOMBE, ISHU IKO HIVI YANGA WATAJWA
Kufuatia tambo za vinara wa msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Young Africans kwa kuanza kwa kasi msimu huu 2023/24 katika vita ya kutetea...
MAXI NZEGELI ANABALAA WEWE, KIUNGO HUYU AFUNGUKA YALIYOWAKUTA JKT
Kiungo wa JKT Tanzania, Hassan Nassor Maulid ‘Machezo’ aliyesimama kati na kuchuana na Mudathir Yahya na Stephane Aziz Ki wa Young Africans katika mechi...
DIOUMBIA AIKALIA YANGA KOONI, WIKI MOJA BAADA YA KUREJEA NCHINI
Kwa mujibu wa Goal Africa, aliyekuwa beki wa Yanga, Mamadou Doumbia ametoa muda wa wiki moja kwa uongozi wa Yanga kumlipa stahiki zake.
Doumbia aliyerejea...
NGOMA AWAPATA JEURI VIONGOZI WA SIMBA, SIRI YAFICHUKA…YANGA WAPIGWA ZA USO
MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi Simba, Salim Abdallah ‘Try Again’, amefichua kuwa wana uwezo mkubwa wa kuweza kusajili mchezaji yeyote wanayemtaka ndani ya timu...
MAXI NZEGELI AZUA HOFU…. CHAMA, ONANA WAPEWA KAZI MAALUM
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo