Staff Desk
KWA HIZI HESABU ZA BENCHIKHA SIJUI KAMA ANATOKA MTU KWA MKAPA
KOCHA mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha amepiga hesabu kali kuelekea katika mchezo wao ujao wa hatua ya makundi dhidi ya Wydad ya Morocco kwa...
KOCHA WA TIMU YA TAIFA YA MOROCCO AMPIGA KIKUMBO BENCHIKHA CAF
Kocha timu ya Taifa ya Morocco, Walid Regragui ameshinda tuzo ya kocha bora wa mwaka 2023 baada ya kuiongoza Morocco kumaliza nafasi ya nne...
UONGOZI SIMBA WATOA UFAFANUZI HUU JINSI WATAKAVYOPITA NA UPEPO LIGI YA...
UONGOZI wa Simba, umeweka wazi kuwa njia, pekee itakayowapeleka katika hatua ya robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika ni kushinda mechi zote za nyumbani...
HII HAPA RATIBA NZIMA YA SIMBA SC KA MWEZI DESEMBA
Hello Desemba 9, ikiwa ni siku ya kutimiza miaka 62 Uhuru wa Tanganyika. Hivi hapa vigongo vya Simba ndani ya Desemba kitaifa na kimataifa...
SIMBA YAIBIGA MKWARA WA KIBABE WYDAD
Wakati Simba ikijiandaa na mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika, beki wa Wydad Casablanca ya Morocco, Arsene Zola amekiri Mnyama ana mabadiliko...
NGAO YA JAMII WANAWAKE KIVUMBI LEO FAINALI
JKT Queens na Simba Queens zinashuka dimbani Dar es Salaam leo katika fainali ya Ngao ya Jamii wanawake 2023.
Mchezo huo utafanyika kwenye uwanja wa...
MAYELE ALISTAHILI TUZO MBELE YA HUYU MWAMBA
Mchambuzi wa soka nchini Tanzania na mchezaji wa zamani wa timu ya Taifa ya Tanzania Amri Kiemba amesema Fiston Mayele alistahili kupata tuzo mbele...
BENCHIKHA AJA NAKULI HII SIMBA
Kocha mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha ameweka wazi timu hiyo ina shida katika eneo la ushambuliaji baada ya kutofunga mabao mengi kwenye Ligi ya...
RHINO MANIA KASINO USHINDI MARA 4096 YA DAU LAKO
Rhino Mania ni mchezo wa sloti unaoletwa na mtoa huduma Platipus. Kuna aina mbalimbali za bonasi zinazokusubiri katika mchezo huu wa sloti uliopo sehemu...
SASA NI MASTER MANU LABOTA BOLA
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo