Staff Desk
MERIDIAN BET KUMWAGA TV INCH 55 MWEZI NOVEMBA
Funga mwaka kibingwa na Meridianbet nyumba ya mabingwa wa odds kubwa na machaguo mengi lukuki. Zikiwa zimebaki siku chache mwaka kuisha Meridianbet itatoa TV...
AHMED ALLY ATUPA JIWE GIZANI BAADA YA SUPU YA YANGA JANGWANI
Baada ya Mashabiki wa Simba kutangazwa kuwa mashabiki bora wa AFL 2023, Afisa habari wa klabu ya Simba Ahmed Ally amesema haya.
“Tumeshinda tuzo ya...
YANGA IPOKAMBINI MASTAA TUMBO JOTO, GAMONDI ANENA HILI
Yanga ipo kambini ikiendelea kunoa makali kwa ajili ya mechi za kimataifa dhidi ya CR Belouizdad ya Algeria na Al Ahly ya Misri, lakini...
HII YANGA IMESHAKUWA BALAA, KOCHA CR BELOUIZDAD AITAJA KENYE HILI
Kocha Mkuu wa Mabingwa wa Soka nchini Algeria, Chabab Riadhi de Belouizdad ‘CR Belouizdad’, Marcos Paqueta raia wa Brazil amejikuta akiweka wazi mapema kuwa...
GAMONDI AFUNGUKA MIPANGO YAKE KWENYE KUIFUA YANGA
KATIKA kuhakikisha wanafanikiwa na kushinda kila mechi, Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi amesema kutokana na mfumo anaoutumia kila mchezaji anaweza kufunga mabao sio...
WAKATI MAMBO MENGINE YAKIENDELEA HUKO SIMBA, KIKOSI KIMESHUKA KAMBINI LEO KWAAJILI...
WAKATI uongozi wa Simba ukiendelea na mchakato wa kuziba nafasi ya benchi la ufundi, Kaimu Kocha Mkuu wa Simba Daniel Cadena amesema wameanza maandalizi...
KUMBE UJANJA WANAOTAMBA NAO YANGA UKO HAPA
Yanga inavuma kila sehemu ikiwa ya moto uwanjani ikiendeleza kasi ya kulitaka taji la tatu mfululizo la Ligi Kuu Bara, lakini kuna mambo matatu...
FEI TOTO HAKUNA KUPOA HUKO LIGI KUU
Utamu wa Ligi Kuu Bara umesimama kwa muda wa kama wiki mbili ili kupisha michezo ya kimataifa. Taifa Stars inakabiliwa na mechi mbili mfululizo...
RAIS WA YANGA AANZA MIKAKATI, BAADA YA GAMONDI KUMPA LIST HII
Wakati mashabiki na wapenzi wa Yanga wakiendelea kutamba mtaani kutokana na kiwango bora kilichoonyeshwa na timu hiyo iliyoshinda mechi nane kati ya tisa za...
MASTAA SIMBA TUMEWASIKIA,NGOMA AANIKA KILA KITU ………. CADENA ATEMA CHECHE
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo