Staff Desk
GAMONDI AFUNGUKA HAYA BAADA YA KUWAKANDA SIMBA
Ni siku ya furaha sana katika kazi yangu ya ukocha, tumepata ushindi dhidi ya tibu bora .
Wachezaji wangu wamecheza vizuri sana kwa bidii, kujituma...
YAANI MPAKA MSEME……YANGA IMELIPA KISASI CHA KUPIGWA BAO 5-0 MWAKA 2012
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
DABO BADO AOTA UBINGWA AZAM FC
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
WAMELOA….GAMONDI AVUNJA REKODI YA ROBERTINHO
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
BADI YA KARIAKOO YAZUA MASWALI MAKOCHA WAWEKEANA BIFU
HAKUNA ubishi. Baada ya makelele ya siku kadhaa, umewadia ule muda wa Tanzania kugawanyika kwenye rangi mbili kubwa kwa dakika kadhaa.
Ni saa 11 jioni...
HALI YA KWA MKAPA IKO HIVI MUDA HUU SIO POA
KUTOKANA na hali ya hewa ya mvua, hakuna shamrashamra zilizozoeleka kwenye mechi za dabi za Simba na Yanga, ingawa haijazuia baadhi ya mashabiki kufika...
ROBERTINHO AIMALIZA YANGA KABLA YA KUINGIA DIMBANI, LEO NDIO KAZI IPO...
WAKIJIANDAA na mchezo wao wa Dabi ya Kariakoo dhidi ya Yanga, Kocha Mkuu wa Simba, Robert Olivieira ‘Robertinho’ amechimba mkwara mzito kuwa wametumia uzito...
SIMBA vs YANGA NI KISASI NA HESHIMA VYOTE KATIKATI YAKE
Leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa patachimbika, hii ni siku ambayo itakuwa mwisho wa ubishi, nyodo na tambo wakati miamba miwili ya soka nchini,...
LEO NDIO LEO KAMA HAUNA TIKETI USIONEKANE KWA MKAPA POLISI WATOA...
Jeshi la polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema asiyekuwa na tiketi hataruhusiwa kusogelea uwanja au maeneo ya milango ya kuingia katika mchezo...
CCM NAO WAJA NA JAMBO LAO DABI YA KARIAKOO…… UNAAMBIWA GOLI...
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM-Itikadi na Uenezi, Paul Makonda ametangaza ahadi ya kununua magoli yatakayopatikana kwenye Derby ya Kariakoo kati ya Simba SC...