Staff Desk
KIZAAZAA CHA MZAMIRU YASIN KWENYE DABI, ROBERTINHO ALISEMA HIVI
Mzamiru Yassin mwamba kabisa hana bahati na mechi kubwa, anaweza kupiga kazi kubwa dakika zote ila kosa lake moja likatumiwa na wapinzani kisha mashabiki...
BOCCO NA SIMBA SASA NI MAJI YA JIONI WAKATI WOWOTE TUTASIKIA...
Mshambuliaji wa klabu ya Simba, John Bocco anamaliza mkataba wake na Wekundu wa Msimbazi mwishoni mwa msimu huu na atakuwa Mchezaji huru (Free agent)...
ACHA KIPIGWE TU……. REKODI ZA REFA ZASHTUA, MAKOCHA WAWEKEANA BIFU
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
ALLY MAYAY ACHAMBUA DABI YA LEO SIMBA vs YANGA……. UNAAMBIWA LEO...
Kaimu Mkurugenzi wa michezo nchini ambaye pia ni mchezaji wa zamani wa Yanga Ally Mayay Tembele amesema wanapokutana watani wa jadi nchini huwa ni...
MCHEZO HUU WA KASINO UTAKUPA USHINDI MKUBWA LEO
Kitu kinachonifanya niichague Meridianbet ni odds kubwa, machaguo mengi,bonasi kibao, ofa, promosheni na kubwa Zaidi michezo ya kasino ya mtandaoni na sloti rahisi kushinda,...
KUHUSU DABI YA KARIAKOO HAWA SASA NDIO WAKONGWE WENYEWE
Jumapili nyasi za uwanja wa Mkapa zitakuwa na shughuli nzito kwa kuwakutanisha watani wa jadi Simba na Yanga mchezo utakaochezwa saa 11:00 jioni.
Katika mchezo...
ROBERTINHO ACHIMWA MKWARA MZITO…… KINACHOFANYIKA KWENYE DABI NI ZAIDI YA AFL
WAKIJIANDAA na mchezo wao wa Dabi ya Kariakoo dhidi ya Yanga, Kocha Mkuu wa Simba, Robert Olivieira ‘Robertinho’ amechimba mkwara mzito kuwa wametumia uzito...
BODI YA LIGI YAILAMU YANGA KWENYE DABI YA KARIAKOO, KISA HIKI...
Bodi ya ligi kuu Tanzania (TPLB) imesema haipendezwi na tabia ya timu mgeni kwenye Mchezo wa Kariakoo Derby kutoifanyia promo mechi hiyo na kuachia...
MASTAA HAWA WA SIMBA MATOKEO YA DABI YA KARIAKOO YAPO MABEGANI...
Kocha Mkuu wa Simba Mbrazili, Robert Oliviera ‘Robertinho’ amewapa jukumu zito viungo wake wa kati Fabrice Ngoma, Sadio Kanoute na Mzamiru Yassin kuhakikisha viungo...
KUELKEA DABI YA KARIAKOO SIMBA WAPEWA MAUJANJA NA BEKI WA YANGA
Beki wa zamani wa Yanga, Ladslaus Mbogo ameangalia kasi na ubora wa Maxi Nzengeli, Azizi KI na Pacome Zouzoua waliokuwa nao kwa sasa ambapo...