Staff Desk
GAMONDI AFUNGUKA MIPANGO YAKE KWENYE KIPINDI CHA MAPUMZIKO
Kocha Miguel Gamondi amefunguka kuwa atatumia kipindi hiki cha mapumziko kuboresha kikosi chake na kuleta usawa.
“Ni muda wa mapumziko, baadhi ya wachezaji wetu wameenda...
MAXI AJA NA KIAPO HIKI LIGI KUU
Kiungo fundi wa boli, Maxi Nzengeli alisema anaendelea kuizoea ligi ya Tanzania akitaka kuvunja rekodi aliyoanza nayo ya kufunga na kuasisti kwa timu hiyo...
HAPA SIMBA PALE YANGA HII NDIO LIGI YA REKODI SASA
Kama ambavyo ilikuwa msimu uliopita wa 2022/23, Wekundu wa Msimbazi wameendelea kuongoza msimamo wa Ligi Kuu Bara kwa mara nyingine tena (2023/24) ndani ya...
MASTAA HAWA YANGA WAREJEA KIKOSINI
Nyota watatu wa Yanga wamerejea kikosini kwa ajili ya kuanza maandalizi ya kuivaa Azam FC, ukiwa ni mchezo wa Ligi Kuu unaotarajiwa kuchezwa kwenye...
SIMBA WAONA ISIWE TABU YAWARUHUSU MASTAA WAKE KUTUA HUKU
Wachezaji wa Simba Kibu Denis na Mzamiru Yassin wameonakena kwenye mazoezi ya kikosi cha timu ya Taifa Tanzania 'Taifa Stars' kinachojiandaa kucheza mechi ya...
BALAA LA MAXI YANGA……MANULA,INONGA KUMEKUCHA
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
GAMONDI HATAKI KUPOA YANGA
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
NZEGELI ATOA KAULI TATA, WAPINZANI TUMBO JOTO
Nyota wa Yanga, Maxi Nzengeli ametaja nguzo tano zinazowapa wachezaji nguvu ya kupata matokeo kwenye mechi za kitaifa na kimataifa wawapo uwanjani.
Chini ya Kocha...
ROBERTINHO APATA MBADALA WA INONGA
Kocha Mkuu wa Simba SC, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ amesema ana mpango wa kumtumia Kennedy Juma kwenye mechi za kimataifa kama mbadala wa Henock Inonga...
ANALIPWA BIL 2 KWA TANGAZO MOJA
Burak Ozcivit wengi mnamfahamu kwa jina la Osman Bey kama jina lake la uigizaji lilivyo, ndoto zake zilikuwa ni kuwa mwanamitindo wakati akiwa mwanafunzi...