Staff Desk
SHAFFIH DAUDA AWACHARUKIA MASHABIKI WA SIMBA, ISHU IKO HIVI
Mchambuzi nguli wa masuala ya soka nchini, Shaffih Dauda amewaponda baadhi ya mashabiki wa Klabu ya Simba ambao wamekuwa na tabia ya kulalamika kuwa...
HII NDIO TIMU BORA KWA SASA, JULIO AFUNGUKA HAYA
Aliyewahi kuwa Kocha na Mchezaji wa Simba SC, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ ameibuka na kutamka kuwa, Young Africans ni bora kwa sasa kutokana kiwango bora...
GAMONDI HAJARIDHISHWA NA NAMUNGO ISHU IKO HIVI
Ushindi wa bao 1-0 ambao wameupata Young Africans dhidi ya Namungo FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara juzi Jumatano (Septamba 20) haujamtosha Kocha...
GAMONDI AFANYA KILA KITU MAPEMA SANA
Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi anataka kufanya biashara yake mapema baadaye aje kupiga mahesabu kama ataingia hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa...
YANGA YAWEKA REKODI HII YA KIPEKEE LIGI KUU
Timu Tisa zinazoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara (NBC Primia Ligi) 2023/24 ambazo ni;
Tanzania Prisons
Coastal Union
Kagera sugar
JKT Tanzania
Namungo
Ihefu,
Singida Big stars
Geita Gold
Timuzote hizo pamoja zimefunga mabao...
AHAMED ALLY AJA NA JIPYA KUHUSU KRAMO, ISHU IKO HIVI
Nyota mpya wa Simba SC, Aubin Kramo yupo nchini na hajaenda kutibiwa nchini kwao kama ilivyoripotiwa awali.
Akizungumzia hali yake, Meneja wa Habari na Mawasiliano...
SIMBA HAWAPOI MAWINDO YANAENDELEA SASA WAHAMIA HUKU
Baada ya kupata ushindi mnono dhidi ya Coastal Union katika mechi ya Ligi Kuu ya NBC, Wekundu wa Msimbazi Simba SC akili yao wanaielekeza...
MCHAWI WA SIMBA APATIKANA
Mashabiki wa Simba na viongozi wakati huu kila mmoja anatafuta mchawi katika kikosi kutokana na kuruhusu mabao manne katika mechi tano ilizocheza.
Simba imecheza mechi...
BOLI LIMERUDI, MUDATHIR ANABALAA
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
HAKIKISHA JINA LINATOKA BALEKE
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo