RASMI WACHEZAJI WATATU WAPIGWA PINI SIMBA

0

ERASTO Nyoni, beki kiraka wa Simba rasmi ameongeza mkataba wa miaka miwili kuendelea kuitumikia klabu hiyo.Nyoni anakuwa ni mchezaji wa tatu kwa Simba kutangazwa kwamba ameongeza mkataba wa kuitumikia klabu hiyo ambayo maskani yake yapo mitaa ya Msimbazi, Dar.Wachezaji wengine ni pamoja na John Bocco ambaye ameongeza mkataba wa miaka miwili pamoja na mlinda mlango Aishi Manula ambaye ameongeza...

KILICHOMG’OA NDAYIRAGIJE KMC MPAKA KUTUA AZAM FC CHATAJWA

0

UONGOZI wa Azam FC leo umemtangaza rasmi kocha Etienne Ndayiragije  aliyekuwa KMC kuwa kocha wao mpya kwa msimu wa 2019/20.Akizungumza mara baada ya kutambulishwa, Ndayiragije amesema kuwa sababu kubwa iliyomuondoa KMC ni maamuzi yake binafsi pamoja na maisha ya soka kutokuwa ya kudumu sehemu moja."Nimefanya kazi kwa ukaribu na KMC, ni watu wangu wa karibu sina tatizo nao ila maisha...

YANGA YAFANYA MAAMUZI MENGINE KUHUSU AJIBU

0

meelezwa kuwa uongozi wa Yanga umeamua kubadili gia angani kwa kuanza mazungumzo ya kumuogezea mkataba kiungo wao Ibrahim Ajibu ambaye mkataba wake umememalizika ndani ya Yanga.Taarifa imeeleza kuwa kwa sasa Ajibu yupo kwenye mazungumzo na Yanga ili kuona namna gani atarejea ambapo viongozi wamekuja na gia mbadala kwa kuifuata familia ya Ajibu.Taarifa zimeeleza kwamba baada ya kuona Ajibu amegomea...

BAADA YA STARS KUTANGAZA KIKOSI CHA MAANGAMIZI JANA, UGANDA NA KENYA NAO HAWA HAPA

0

Timu ya taifa ya Kenya na Uganda wametangaza vikosi vyao vya wachezaji 23 vitakavyoshiriki fainali za mataifa ya Afrika 2019 nchini Misri.Kenya wapo Kundi C na timu za Tanzania, Algeria na Senegal ambapo wao walikuwa nchini Ufaransa kuweka kambi ya maandalizi wakati ambo wenzao Algeria wakiwa Doha Qatar, Senegal wakiwa Hispania wakati Tanzania wakiwa nchini Misri.

Jezi za taifa stars kuzinduliwa leo

0

Muda mfupi ujao Shirikisho la Soka Tanzania, TFF, litazindua jezi mpya kwaajili yat timu ya Taifa Tanzania katika michuano ya Mataifa ya Afrika huko Misri.Tutawaletea hapa pia picha zake….The post Jezi za taifa stars kuzinduliwa leo appeared first on Kandanda.

WACHEZAJI SABA WA SIMBA WANAOPEWA NAFASI YA KUSEPA MSIMU UJAO

0

IMEELEZWA kuwa kwa sasa kikosi cha Simba kinafanya usajili wa kimyakimya na mpango wake mkubwa ni kufanya maboresho kwenye kikosi chao kwenye michuano ya kimataifa.Mpaka sasa ni wachezaji wawili tu ambao wameongezewa mkataba kwenye kikosi hicho ambao ni John Bocco na Aishi Manula huku wengine mipango yao ikiwa ni ya siri.Ripoti ya Kocha Mkuu, Patrick Aussems kwa sasa ndiyo...

WACHEZAJI 16 WALIOPIGWA PANGA STARS

0

TIMU ya Taifa ya Tanzania kwa sasa ipo nchini Misri ambapo imeweka kambi kwa ajili ya maandalizi ya michuano ya Afcon inayotarajiwa kuanza Juni 21.Kikosi kilikuwa na jumla ya wachezaji 39 awali ambapo mchujo wa kwanza ulichuja wachezaji saba na mchuju wa pili ulichuja wachezaji 9 na kufanya wachujwe jumla ya wachezaji 16 na kufanya wabaki wachezaji 23.Mchujo Wachezaji...

NYOTA WA MWADUI ANAYEWINDWA NA YANGA KUTIMKIA ULAYA

0

NYOTA wa kikosi cha Mwadui FC, Salum Aiyee mambo yamezidi kumyokea kwake ambapo imeelezwa kuwa kwa sasa amewekwa kwenye mawindo na timu kama tano za Ulaya ambazo zinahitaji saini yake.Kwa sasa Aiyee amemaliza mkataba na Mwadui anaskilizia ofa ya Yanga ambayo ipo mkononi mwake baada ya kuwaambia kwamba wampe mkwanja wa kutosha.Habari kutoka kwa mtu wake wa karibu zimeeleza...

Adi,Banda na kichuya miongoni wa walioachwa

0

Kikosi cha timu ya Taifa kimeweka kambi yake ndhini Misri, katika wachezaji 32 waliosafiri na timu iltakiwa wabaki wachezaji 23 tu kwaajili ya mipango ya AFCON.Kandanda imepata orodha ya wachezaji wanaobaki hawa hapa:Magolikipa1-Aishi Manula (Simba SC)2-Metacha Mnata (Mbao)3-Aron Kalambo (Tz Prisons)4-Seleman Salula (Malindi)5-Claryo Boniface (U20)Mabeki6-Hassan Kessy (Nkana, Zambia)7-Vicent Philipo (Mbao)8-Gadiel Michael (Yanga)9-Mohamed Hussein (Simba)10-Ally Sonso (Lipuli)11-Erasto Nyoni...

KUBWA KULIKO KUTIKISA JUMAMOSI DAR, RATIBA KAMILI HII HAPA – VIDEO

0

Ratiba kamili ya Yanga Kubwa Kuliko Jumamosi hii, hii hapa