AZAM FC YAZITAKA POINTI TATU ZA MBEYA CITY

0

JAFFARY Maganga,Ofisa Habari wa Azam FC amesema kuwa leo watapambana mbele ya Mbeya City kuzisaka pointi tatu muhimu.Azam FC iliyo chini ya Kocha Mkuu,...

SALAH ANA JAMBO LAKE HUKO ANATAKA KULIFANYA, BALAA LAKE SI MCHEZO

0

MOHAMED Salah, raia wa Misri mshambuliaji anayekipiga ndani ya Klabu ya Liverpool ameendeleza urafiki wake na nyavu kwa kuwatungua Southampton mabao mawili kwenye mchezo...

MBELGIJI WA YANGA AKOSESHWA USINGIZI NA MTIBWA SUGAR

0

KOCHA wa Yanga, Luc Eymael amesema kuwa kila anapokuwa na mechi karibu huwa halali akikesha kutafuta mbinu za kuwamaliza wapinzani wake jambo ambalo linamsaidia...

MTIBWA YATUMIA MAMILIONI HAYA KUIMALIZA YANGA LEO

0

IMEELEZWA kuwa uongozi wa Mtibwa Sugar umewapa Sh milioni 70 wachezaji wake ili kuhakikisha wanashinda mechi zake za ligi ukiwemo wa leo dhidi ya...

COASTAL UNION YATAJA KILICHOWAPONZA KUPOTEZA MBELE YA SIMBA, TAIFA

0

JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa timu ya Coastal Union amesema kuwa kilichomponza kupoteza mchezo wake mbele ya Simba ni kukosa umakini kwa wachezaji wake...

HAWA HAPA LEO KUKOSEKANA NDANI YA UWANJA WA TAIFA MECHI YA YANGA NA MTIBWA, KABWILI PIA

0

LEO Uwanja wa Taifa kutakuwa na mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Yanga iliyo chini ya Luc Eymael raia wa Ubelgiji na Mtibwa...

HIZI HAPA REKODI SITA ZA SAMATTA NDANI YA ENGLAND NI ZA MOTO

0

MBWANA Samatta, mshambuliaji wa Aston Villa ambaye alisajiliwa kwenye dirisha dogo la mwezi Januari akitokea Genk ya Ubelgiji ameweka rekodi kibao kwa muda mfupi...

TANZANITE YAFANYA KWELI UGENINI, YAPINDUA MATOKEO KIBABE

0

PHIONA Nabbumba wa Timu ya Wanawake chini ya miaka 20 ya Uganda alijichanganya dakika ya 48 ya kipindi cha pili kuitungua timu ya Taifa...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTIXTRA,JUMAPILI

0

MUONEKANO wa Ukurasa wa Mbele Gazeti la SPOTIXTRA, JUMAPILI