HIVI NDIVYO PLUIJM ALIVYOIBUKIA YANGA

0

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amesema kuwa anaogopa kufanya kazi na mzawa kwa kuwa ana mfano hai aliouona kwa kocha wa Azam FC Hans Pluijm ambaye alitimuliwa ndani ya Azam FC.Hii ni kutokana na kile kilichoelezwa kwamba anatafutiwa kocha msaidizi ambaye atafanya naye kazi msimu ujao kwenye benchi la ufundi.Zahera amesema kuwa alikaa na Pluijm baada ya kupigwa...

KIPA AGOMEA MKATABA SIMBA / KABWILI SAMATTA MFANO WA KUIGWA – VIDEO

0

Kipindi cha Spoti House kimeendelea tena, pata nafasi ya kuwasikiliza wachambuzi mbalimbali wa mabo ya soka kuhusiana na mpira wa miguu.

NYOTA SIMBA KUIBUKIA NAMUNGO

0

IMEBAINIKA kuwa nyota wa Simba, Adam Salamba amekuwa akiwindwa na klabu ya Namungo FC ambayo imepanda daraja pamoja na timu ambayo amewahi kuichezea na Lipuli FC.Salamba amekuwa akitajwa kuwa ni mchezaji wa simba ambaye Kocha Patrick Aussems hana mpango naye kwa msimu ujao wa ligi na huenda akachwaa au kutolewa kwa mkopo.Hivyo amekuwa akiwindwa na klabu ya Namungo ambayo...

KOCHA SIMBA KUIBUKIA TIMU NYINGINE LIGI KUU

0

KMC ambayo imepata nafasi ya dezo ya kushiriki Kombe la Shirikisho msimu ujao iko kwenye mazungumzo na Kocha wa zamani wa Simba na sasa Lipuli, Seleman Matola.Dili hilo limeanza baada ya KMC kushtukia kwamba Kocha wao wa sasa Etiene Ndayiragije huenda akatua Azam muda wowote.Habari zinasema kwamba Ndayiragije ambaye ni Mrundi amefikia pazuri na Azam lakini mambo yanakwenda kimyakimya.Viongozi...

KISA BEKI, MABOSI SIMBA WAISHINDWA YANGA

0

MABOSI wapya wa Yanga wamefanikisha mipango ya kumuongezea mkataba wa miaka mitatu beki wake, GadielMichael ambaye ilikuwa kiduchu tu asaini Simba.Dau alilowekewa mezani beki huyo lilikuwa ni Shilingi Milioni 40 na mshahara wa Milioni tatu. Habari za uhakika zinasema kuwa ni kwamba beki huyo wamefikia makubaliano na viongozi wa timu hiyo na wamemhakikishia mambo mazuri yanakuja akae mkao wa kula.Mmoja...

CHIRWA AIFANYIA MAAMUZI MENGINE YANGA

0

MAMBO yamemnyokea mshambuliaji wa Azam FC Obrey Chirwa baada ya kuelewana na kukubaliana kusaini mkataba wake mpya na klabu hiyo tukio ambalo litafanyika Jumamosi.Awali Chirwa ambaye ni Mzambia ligoma kusaini mkataba mpya na klabu hiyo na inatajwa kuwa malengo yake yalikuwa ni kutaka kurejea Yanga lakini kocha Zahera akamkaushia.Chirwa aliwahi kuichezea Yanga kabla ya kutimkia Misri kisha kurejea na...

ISHU YA AJIBU KUFELI TP MAZEMBE YAVUJA

0

BAADA ya dili la Ibrahim Ajibu Migomba kutoka Yanga kwenda TP Mazembe ya DR Congo kufeli, mapya yamevuja. Kumbe mshikaji alitaka Mil 20 kwa mwezi.Mmoja wa makomandoo maarufu wa TP Mazembe, Patrick Mazembe, ameliambia Spoti Xtra kuwa; “Unajua wachezaji wakisikia wanatakiwa na TP Mazembe huwa wanahitaji vitu vingi kwa kuwa wanajua kuwa tuna fedha, hivyo ndivyo ilivyokuwa kwa mchezaji...

KAGERA SUGAR: TUNABAKI TPL, TABU IPO PALEPALE

0

UONGOZI wa Kagera Sugar umesema kuwa hamna namna ya kuwazuia kubaki ndani ya Ligi Kuu msimu ujao kutokana na hasira walizonazo za kubaki ndani ya ligi  ili waendeleze ubabe wao kwa Simba kwa kuwatungua nje ndani.Kagera Sugar ilishushwa kimakosa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na kubaki daraja la kwanza kwa muda wa masaa machache kabla ya TFF kuamua...

MWADUI KUIKOMALIA GEITA FC, YAGOMA KUSHUKA MAZIMA TPL

0

MSHAMBULIAJI wa Mwadui FC,ambaye ni kinara wa utupiaji mabao kwa wazawa ndani ya ligi kuu msimu wa 2018/19 Salim Aiyee amesema kuwa watapambana kupata matokeo kwenye mchezo wao wa mwisho ili kubaki kwenye ligi.Mwadui FC inacheza playoff na Geita, Juni 8 uwanja wa Mwadui ikiwa ni mchezo utakaoamua nani abaki ligi kuu ama apande wakiwa na kumbukumbu ya kutoshana...

SERIKALI YAIPA BARAKA STARS, WAZIRI AIKABIDHI BENDERA

0

Serikali kupitia Naibu Waziri wa Habari, Sanaa Utamaduni na Michezo, Juliana Shonza imekabidhi rasmi  Bendera ya Taifa kwa Nahodha wa kikosi cha timu ya Tanzania ‘Taifa Stras, Mbwana Samatta, ambao wanaondokamapema kesho kwenda Misri kwa ajili ya michuano ya Afcon.Stars imeagwa na waziri huyo ikiwa inaenda Misri kwa ajili ya maandalizi ya mwisho kuelekea michuano ya Mataifa ya Afrika...