BREAKING: SIMBA YAIPA NEEMA YANGA, RASMI KUSHIKI PIA LIGI YA MABINGWA AFRIKA

0

Taarifa mpya ya Shirikisho la Soka Tanzania Bara (TFF) kuhusiana na timu zitakazoshiriki Ligi ya Mabingwa Africa (CAF Champions League).

MBELGIJI SIMBA AMTAKA KOCHA WA MAKIPA AKASOME, LA SIVYO…….

0

Imeelezwa kuwa Kocha Mkuu wa klabu ya Simba akiwa zake Ubelgiji ameacha maagizo kwa bodi ya klabu ya Simba kuhusu usajili na kuboresha baadhi ya vitu kwenye bechi la ufundi la klabu hiyo.Kwenye bechi la ufundi Aussems ameitaka bodi kumuongezea mkataba wa mwaka mmoja kocha wake msaidizi Dennis Kitambi ambaye mkataba wa miezi minne umeisha.Taarifa hiyo pia imeeleza kwenye...

LUKA JOVIC ALAMBA DILI LA MIAKA MITANO REAL MADRID

0

Luka Jovic amejiunga na klabu ya Real Madrid kwa ada ya dau ya Euro milioni 62 amepewa kandarasi ya miaka mitano.Mshambuliaji huyo ambaye alikuwa akitumikia klabu ya Eintracht Frankfurt ameweza kusajiliwa kwa ada ya dau kubwa kuliko wote ambao wamewahi kusajiliwa klabuni hapo.Anakuwa mchezaji wa tatu kunuliwa kwa ada kubwa baada ya Cristiano Ronaldo na Gareth Bale.Bosi wa timu...

KOCHA SIMBA: YANGA WAMESAJILI MAJEMBE

0

MAMBO ni moto ndani ya Yanga. Hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya usajili wa timu hiyo ilioufanya mpaka sasa kupongezwa na baadhi ya makocha wa kutoka nje ya nchi ambao wamewahi kufundisha soka hapa nchini. Mpaka sasa Yanga imewasajili wachezaji tisa wapya ambapo sita kati ya hao ni wa kutoka nje ya nchi.Wachezaji wa nje ya nchini ni Erick...

YANGA KUMCHOMOA WINGA HUYU FUNDI KUTOKA TANZANIA PRISONS

0

IMEELEZWA kuwa uongozi wa Yanga kwa sasa upo kwenye mazungumzo na winga wa kikosi cha Tanzania Prisons, Ismail Azizi kwa ajili ya kuwatumikia msimu ujao.Yanga kwa sasa ipo kwenye mchakato wa kuboresha kikosi chake kwa ajili ya msimu ujao na tayari wameanza kusainisha wachezaji wapya ambao wataifanya timu hiyo kuleta ushindani.Azizi amesema kuwa amekuwa kwenye mazungumzo na viongozi wa...

CHEKI TPL ILIVYO KWA MTINDO WA NAMBA

0

MEI 28 Ligi Kuu Bara ilifika tamati ambapo bingwa wa ligi msimu wa 2018/19 ni Simba baada ya kumaliza ligi akiwa na pointi 93.Timu mbili ambazo zimeshuka ni pamoja na Stand Unite na African Lyon huku mbili zitacheza playoff ambazo ni Mwadui FC itamenyana na Geita FC huku Kagera Sugar wakali wa takwimu watamenyana na Pamba ili kumpata mshindi...

NAMUNGO HAWATAKI UTANI WAANZA NA JEMBE LA ALLIANCE

0

UONGOZI wa Namungo FC yenye maskani yake Mtwara imemsajili mshambuliaji wa Alliance FC, Bigirmana Blaise kwa kandarasi ya mwaka mmoja.Akizungumza na Saleh Jembe, Ofisa Habari wa Namungo, Kidamba Namlia amesema kuwa ni mpango wa mwalimu, Hitimana Thiery kupata wachezaji wenye uzoefu ambao wataipa nguvu safu ya ushambuliaji."Mpango uliopo kwa sasa ni kuboresha kikosi chetu, tumeanza na Blaise wengine wanafuata...

WASHINDI 24 WA SMARTPHONE KWENYE USIBAHATISHE CHEZA NA SPORTPESA

0

Kampuni ya michezo ya kubahatisha ya SportPesa Tanzania imewazawadia simu za kisasa za mkononi (smartphone) 24 watanzania mbalimbali walioshinda katika promosheni ya Usibahatishe Cheza na SportPesa.Washindi hao ni Amran Samwel Mwanga, Jimmy Joseph, Frank Paulo, Juma Issa, Tiblus Dominik, Kassim Mbaga ambao wanatokea Dar es Salaam, Sebastian Mathias, Emmanuel Adebayo (Mwanza), Omary Mohammed, Yahaya Kindenge(Morogoro), Aliehas Butwah, Yohana Malimi (Geita) na Hawa Ramadhani,...

NIYONZIMA APEWA SOMO NA SAMAKIBA

0

KIUNGO fundi wa timu ya Simba Haruna Niyonzima amesema kuwa kitendo walichofanya Mbwana Samatta ambaye ni nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania na Ally Kiba kimempa somo kubwa hivyo atakipeleka Rwanda.Samatta na Kiba juzi walicheza mchezo wa hisani kupitia taasisi ya Sama Kiba Foundation ukiwa na lengo la kuhakikisha wanarudisha kile wanachokipata kwa jamii inayowazunguka.Akizungumza na Saleh Jembe,...

NAMUNGO KUSAJILI MAJEMBE 11, YUMO NA FUNDI WA BISAHARA UNITED

0

UONGOZI wa kikosi cha Namungo FC ya mkoani Mtwara ambayo imepanda daraja msimu huu umesema kuwa umejipanga kuwatangaza wachezaji wake wapya hivi 11 hii karibuni.Nurdine Barola raia wa Burkina Faso anayeitumikia Biashara United imeelezwa kuwa ni miongoni mwa mapendekezo ya mwalimu Hitimana Thiery ambaye alifanya naye kazi alipokuwa Biashara United huenda akawa sehemu ya watakaotangazwa. Ofisa Habari wa Namungo, Kidamba...