NAMUNGO YAANZA KUIVURUGA BIASHARA UNITED

0

MLINDA Mlango namba moja wa kikosi cha Biashara United, Nurdine Barola raia wa Burkina Faso anatarajiwa kujiunga na kikosi cha Namungo FC ambacho msimu ujao kitashiriki Ligi Kuu Bara.Barola alikuja bongo kwa lengo la kujiunga na Yanga dili lake likatibuka na kudondokea mikononi mwa mabosi wa Biashara United ya Mara ambayo imebaki ligi kuu msimu ujao.Ofisa Habari wa Namungo...

WACHEZAJI WANAOTEMWA YANGA HAWA HAPA

0

Hii hapa orodha ya wachezaji wanaoelewa kuwa wataachwa Yanga siku yoyote kuanzia hivi sasa huku nafasi zao zikichukuliwa na wale wanaofanyiwa usajili hivi sasa.Pius BuswitaAmissi Tambwe Thabani Kamusoko Said Makapu Said MussaMatheo Anthony Juma Mahadhi Pato Ngonyani naBurhan Akilimali

LIPULI: HATUNA MKWANJA ILA KOMBE TUNASEPA NALO

0

KOCHA wa timu ya Lipuli, Seleman Matola amesema kuwa bado hali ndani ya kikosi kwa upande wa uchumi haijakaa sawa ila amewajenga kisaikolojia wachezaji wake kubeba kombe la FA mbele ya Azam FC Juni Mosi.Akizungumza na Saleh Jembe, Matola amesema kuwa tatizo la ukata limekuwa sugu ukichanganya na ugumu wa ratiba kwake ila hilo ameweka pembeni na kulipigia hesabu...

AZAM FC: TUPO TAYARI KUWA WA KIMATAIFA

0

KOCHA wa Azam FC, Idd Cheche amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wao wa fainali ya kombe la FA dhidi ya Lipuli Juni Mosi uwanja wa Ilulu.Akizungumza na Saleh Jembe, Cheche amesema kuwa hana mashaka na ubora wa kikosi chake hivyo ushindi ni suala la muda tu."Tupo imara kiushindani na kikosi chetu tunakipanga kutokana na mahitaji ya...

Yanga walivaa ovyo kwenye futari, Simba walifundisha kuvaa Yanga Jana.

0

Jana kulikuwa na utoaji tunzo wa klabu za Simba, kitu ambacho ni kikubwa na chenye kuigwa kwa vilabu vingine ndani ya nchi yetu.Kuna vitu vingi sana ambavyo vilionekana jana. Inawezekana mjadala mkubwa ni kwenye tunzo ambazo zimetolewa.Lakini kwangu mimi kuna kitu kimoja ambacho nilikitazama jana. Uvaaji wa wachezaji na benchi la ufundi wa Simba.Uliwatazama walivyokuwa wamevaa?. Walikuwa...

TANZIA: MJUMBE KAMATI YA UTENDAJI YANGA AFARIKI

0

TIMU ya Yanga pamoja na familia ya wanamichezo duniani imepata pigo kufuatia kifo cha mjumbe wa kamati ya Yanga Felix Kibodya.Kibodya amefariki usiku wa kuamkia leo Ijumaa hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam baada ya kuugua kwa muda.Makamu Mwenyekiti wa Yanga, Frederick Mwakalebela amethibitisha taarifa hizo za kifo cha Kibodya.Mwakalebela amesema Yanga imepata pigo kutokana na msiba huo...

HAWA HAPA WALIOTWAA TUZO ZA MO

0

USIKU wa tuzo za MO zilizofanyika katika Ukumbi wa Hyatt Regency, ambapo muwekezaji wa Klabu ya Simba, Mo Dewji, ametoa tuzo kwa wachezaji wa klabu hiyo katika vipengele tofauti tofauti, hii hapa orodha ya washindi wa tuzo hizo:-Mshindi wa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka ya Mo Simba 2019 ni Meddie Kagere.Goli la Clatous Chama dhidi ya Nkana limeshinda...

SERGIO RAMOS AOMBA KUTIMKIA CHINA

0

SERGIO Ramos ambaye ni nahodha wa kikosi cha Real Madrid amecheza jumla ya michezo 606 akiwa ndani ya kikosi hicho tangu ajiunge kwenye kikosi hicho msimu wa mwaka 2005/06 na sasa ameomba kusepa kikosini hapo. Ramos amewaeleza viongozi wa kikosi hicho kuwa amepata dili la maana kwenye moja ya timu nchini China hivyo hamna namna ya yeye kubaki kikosini...

MEDDIE KAGERE AFICHUA SIRI YA MAFANIKIO

0

NYOTA wa Simba, Meddie Kagere amesema kuwa kikubwa kinachompa mafanikio kwenye soka ni kujikubali yeye mwenyewe na kujipa changamoto yeye mwenyewe.Kagere ni mfungaji bora wa msimu huu kwenye ligi kuu akiwa ametupia jumla ya mabao 23 ana tuzo mbili mkononi ya mfungaji bora wa mwaka na mchezaji bora wa mwaka ndani ya klabu ya Simba aliyopewa kwenye tuzo za...

KAGERA SUGAR YAWAFUNGULIA MLANGO NYOTA WAO KUTIMKIA YANGA

0

UONGOZI wa Kagera Sugar itakayocheza Play off na Pamba, umesema kuwa hakuna tatizo kwa wachezaji wao kujiunga na vikosi vingine msimu ujao kwani maisha ya soka ni changamoto kila siku.Nyota wa Kagera Sugar kama mshambuliaji Kassim Khami, Ramadhan Kapera wamekuwa wakitajwa kusepa msimu ujao kujiunga na timu nyingine mpya ikiwa ni pamoja na Simba, Yanga na Azam FC.Akizungumza na...