WABABE SENEGAL NA NIGERIA WATINGA NUSU FAINALI AFCON
TIMU za Taifa za Nigeria na Senegal zimefanikiwa kupenya na kuingia hatua ya nusu fainali ya michuano ya kandanda ya mataifa ya Afrika AFCON inayoendelea kutimua vumbi nchini Misri.Ilianza Senegal kuitupa nje Benin kwa kuichapa 1-0 Uwanja wa Juni 30 mjini Cairo, bao pekee la kiungo wa Everton, Idrissa Gana Gueye dakika ya 69 akimalizia pasi ya mshambuliaji wa...
SIMBA YAMPELEKA MO KWA WAZIRI MKUU
KIUNGO wa Simba, Mohamed Ibrahim ‘Mo’ ametolewa kwa mkopo rasmi na klabu yake kwenda kujiunga na Namungo FC ambayo imepanda Ligi Kuu Bara msimu huu. Mo amejiunga na klabu ya Namungo FC ambayo mlezi wake ni Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na imepanda ligi kuu.Mchezaji huyo ambaye alikuwa anahusishwa kwenda kwa mkopo KMC, ni moja kati ya wachezaji wa simba...
GADIEL MICHAEL APANIA KUFANYA MAKUBWA NDANI YA SIMBA
GADIEL Michael nyota mpya wa Simba amesema kuwa kazi yake kubwa ni kucheza hivyo atapambana kufanya vizuri ndani ya kikosi chake kipya.Michael amesaini kandarasi ya miaka miwili akitokea Yanga hivyo msimu ujao atakuwa ndani ya kikosi cha mabingwa hao kutetea ubingwa wa Simba."Kazi yangu kubwa ni kucheza na siwezi kuchagua kazi, nipo tayari kupambana na changamoto mpya hivyo ni...
MNAMIBIA WA YANGA AKWAMA KWAO
Wakati kikosi cha Yanga kikiwa kimeingia kambi rasmi juzi Jumatatu, nyota wa kigeni wa klabu hiyo, raia wa Namibia, Sadney Khoetage Urikhob ameshindwa kuripoti kwa wakati kutokana na kuwa na matatizo ya kifamilia.Yanga ilianza kambi yake siku ya Jumatatu mjini Morogoro ikiwa ni maandalizi ya msimu mpya wa ligi ambao unatarajiwa kuanza Agosti 23, mwaka huu.Wachezaji wameingia rasmi kambini...
TFF WATOA TAMKO JUU YA OMOG KUINOA TAIFA STARS
Taarifa ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) juu ya Kocha Joseph Omog kuifundisha Taifa Stars.
DIDA AAMUA KUFUNGUKA ALIVYOTEMWA NA SIMBA, AMTAJA MANULA – VIDEO
Aliyekuwa kipa namba mbili wa kikosi cha Simba, Deogratius Munishi ;DIDA', amefunguka kutokuwepo katika kikosi cha Simba huku Kocha Patrick Aussems akiwa bado anamuhitaji katika kikosi hicho.Munishi amesema kuwa hana tofauti kati yake na kia Aishi Manula kiwango kilekile.
IMEVUJA!! KABWILI ALISHAPATA OFA MACEDONIA AKILIPIWA KILA KITU, MPAKA SASA YUPO MORO
Imeripotiwa kuwa hivi karibuni ilisema kuwa klabu ya FK Renova ya Macedonia barani ulaya ilimpa ofa golikipa wa klabu ya Yanga, Ramadhani Kabwili ya kwenda kufanya majaribio ya wiki mbili.Ofa hiyo ilitakiwa kuanza kwa majaribio June 24 na ikielezwa kuwa klabu hiyo itamgharamikia nauli ya ndege, chakula na malazi kwa wiki zote mbili ambazo atakuwa huko.Licha ya ofa hiyo...
DAKIKA 120 ZATIKISA YANGA
Kikosi cha timu ya Yanga kimewasili juzi mkoani Morogoro juzi tayari kwa kujiandaa na msimu mpya wa ligi kuu ambapo kimejichimbia kwenye Chuo cha Bibilia maeneo ya Bigwa huku kukiwa na ulinzi mkali.Kikosi cha Yanga kipo mkoani Morogoro tayari kwa kuanza msimu mpya wa Ligi Kuu Bara katika msimu wa 2019/20 huku kikiwa kimesajili majembe mapya kadhaa.Aidha, wachezaji wote...
SHIKALO ATANGAZA SIKU YA KUTUA YANGA
Kipa namba mbili wa Harambe Stars na Bandari ya Kenya, Farouk Shikalo ‘Wazza’ amefichua kuwa, ilibaki kidogo tu asijiunge na Yanga, lakini sasa atatua baada ya kumalizika kwa michuano ya Kagame.Bandari hivi sasa inashiriki michuano ya Kagame ambayo inaendelea nchini Rwanda.Kipa huyo ambaye tayari amekamilisha usajili wa kutua Yanga, amesema kitendo cha Yanga kusambaza picha zake akiwa anasaini kiliwakera...