TIMU ANAYOKWENDA OKWI ILIWAHI KUNOLEWA NA DIEGO MARADONA
Winga Emmanuel Okwi amejiunga na timu ya Fujairah Footbal Club inayoshiriki Ligi Kuu ya Falme za Kiarabu (UAE), imeelezwa.Nyota huyo Mganda anakwenda kucheza katika timu hiyo ya Ligi Kuu UAE iliyowahi kufundishwa na gwiji la soka duniani, Diego Maradona.Maradona kutoka Argentina, aliifundisha Furjairah kwa kipindi cha msimu wa 2017/18 na baada ya hapo hakuendelea.Kwa sasa kikosi hicho kinanolewa na...
BIASHARA UNITED YAFANYA BIASHARA NA AMRI SAID
AMRI Said amepewa kandarasi ya mwaka mmoja kuendelea kukinoa kikosi cha timu ya Biashara United ya Mara.Ofisa Habari wa Biashara United, Shomari Binda amesema kuwa unaamini uwezo na mbinu za Said ambaye ameinusuru timu kubaki kwenye ligi msimu ujao wa 2019-20."Tunaamini kwa uzoefu na mbinu alizonazo anaweza kuisaidia timu msimu ujao, kabla ya kumwaga wino tayari alishawasilisha ripoti hivyo...
OKWI ABWAGA MANYANGA SIMBA, ATIMKIA UARABUNI
IMEELEZWA kuwa nyota wa Simba Emmanuel Okwi amejiunga na timu ya Fujairah Footbal Club inayoshiriki Ligi Kuu Uarabuni.Okwi ambaye msimu wa 2018-19 akiwa ndani ya Simba alifunga jumla ya mabao 15 na anashikilia rekodi ya kufunga 'hat trick' nyingi kuliko wote akifunga jumla ya mbili ameshindwa kuelewana na mabosi zake Simba.Imeelezwa kuwa miongoni mwa timu ambazo zilikuwa zinahitaji huduma...
MGANGA HUKO BENIN AMTAKA MANE KUTOCHEZA MECHI YA LEO ILI KUEPUKA KIFO
Imeelezwa kuwa Mganga wa tiba za asili nchini Benin, Gwedu Sakala amemuonya mshambuliaji wa Liverpool na Senegal, Sadio Mane kutocheza mechi ya leo ya robo fainali ya Mataifa ya Afrika dhidi ya timu ya taifa ya Benin.Mganga huyo amemuonya Mane akidai kuwa endapo akikaidi na akicheza mechi hiyo ataanguka na kufariki uwanjani.Kauli ya Mganga huyo imeleta mshangao kwa wengi...
STRAIKA MPYA KMC AJA NA MKWARA KWA KAGERE
Baada ya mshambuliaji mpya wa KMC, Salim Aiyee kutupia bao katika mechi ya kwanza ya michuano ya Kagame, sasa ametamba kufunga pia kwenye mchezo wa kwanza wa ligi kuu.Aiyee ameifungia timu yake bao kwenye mechi dhidi ya Atlabara FC ya Sudan ambapo mechi hiyoilimalizika kwa sare ya bao 1-1, Jumapili iliyopita.Aiyee ameliambia Championi Jumatano kuwa, anataka kuweka rekodi ya...
CHID BENZ AMTANGAZIA KICHAPO MADEE
WIKI iliyopita tuliishia wakati Madee yupo kwenye tamasha lake jijini Dodoma na kwa bahati mbaya anakutana na tukio la kupopolewa mawe na chupa za mkojo jukwaani. Je, ungependa kujua ilivyoendelea?SONGA NAYO…“BAADA ya kurushiwa mawe na kuvunjwavunjwa vioo kibao vya pale ukumbini huku mimi nikitafuta mlango wa kutokea, ghafla DJ wangu naye akapigwa jiwe akaamua kutoka nduki kusikojulikana na kuniacha...
MSENEGAL SADIO MANE AWA LULU NDANI YA REAL MADRID
IMEELEZWA kuwa winga wa Liverpool anayekipiga timu ya Taifa ya Senegal ambayo imetinga hatua ya robo fainali kwenye michuano ya Afcon ya Senegal, Sadio Mane anawindwa na Real Madrid. Zinadine Zidane ambaye ni Meneja wa Real Madrid amevutiwa na uwezo wa nyota huyo ambaye ana tuzo ya ufungaji bora msimu uliopita ndani ya Ligi Kuu England.Imeelezwa kuwa Madrid ipo...
SAMATTA KUTUA ENGLAND KESHOKUTWA
Inaelezwa kuwa, mshambuliaji wa kimataifa wa KRC Genk ya Ubelgiji, Mbwana Samatta anatarajia kuondoka nchini kati ya keshokutwa Ijumaa au Jumatatu kuelekea nchini England kukamilisha mipango yake ya kucheza ligi kuu nchini humo.Samatta ambaye ni nahodha wa Taifa Stars, anatajwa kugombewa na Klabu ya Leicester City na Middlesbrough zinazoshiriki Ligi Kuu England.Samatta ambaye aliiongoza Taifa Stars kwenye michuano ya...
POGBA MZINGUAJI KINOMA, ALIANZISHA KAMBINI
IMEELEZWA kuwa kwa sasa Paul Pogba anafanya visa ndani ya timu yake ya Manchester United kushinikiza asepe.Pogba hana furaha ndani ya United na ameshaweka nia yake ya kutimka ndani ya kikosi hicho ambacho kwa sasa kimeweka kambi kwa ajili ya msimu ujao.Pogba alizinguana na mchezaji mwenzake Jesse Lingard nchini Australia kwenye video ambayo ilisambaa mtandaoni.Beki wa United, Victor Lindelof...
HIZI HAPA MECHI 19 ZA YANGA MZUNGUKO WA KWANZA 2019-20
Ratiba ya Yanga mechi 19 mzunguko wa kwanza msimu wa mwaka 2019-20 unaotarajiwa kuanza Agosti 23.28/08/2019 JumatanoYanga vs Ruvu Shooting uwanja wa Uhuru.18/09/2019 JumatanoMbeya City vs Yanga uwanja wa Sokoine.21/09/2019 JumamosiTz Prisons vs Yanga uwanja wa Sokoine.2/10/2019 JumatanoYanga vs Polisi Tanzania uwanja wa Uhuru.20/10/2019 JumapiliAlliance vs Yanga uwanja wa CCM Kirumba.24/10/2019 AlhamisiMbao vs Yanga- uwanja wa CCM Kirumba.6/11/2019 JumatanoYanga...