KMC YAPANIA KUFANYA KWELI RWANDA

0

UONGOZI wa KMC umesema kuwa utaitumia michuano ya kombe la Kagame kwa ajili ya kujiaandaa na michuano ya kimataifa pamoja na Ligi Kuu Bara.Akizungumza na Saleh Jembe, Ofisa habari wa KMC, Anwari Binde amesema kuwa kwa sasa kikosi kimeweka kambi nchini Rwanda kwa ajili ya michuano ya Kagame ambayo inaanza kutimua vumbi kesho."Tupo sawa na tumejipanga kufanya maajabu kwenye...

YANGA YAPINDUA MEZA USAJILI WA GADIEL

0

MWENYEKITI wa Klabu ya Yanga, Dk Mshindo Msolla amezungumzia mjadala wa usajili wa beki wa pembeni, Gadiel Michael na kutoa ruhusa ya mchezaji huyo kwenda popote atakapohitaji ikiwemo Simba inayotajwa kuwa mbioni kumsajili lakini beki huyo ni kama amepindua meza kibabe.Kauli hiyo, ameitoa ikiwa ni siku moja tangu Kocha Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera kuwazuia mabosi wake kuendelea kumbembeleza...

ASKARI AJIUA KISA MKWEWE

0

MOROGORO: Inasikitisha! Askari wa Kampuni ya Ulinzi ya Setembo, Rajabu Athumani (60), anadaiwa kujiua kwa kujinyonga, kisa kikidaiwa ni mauaji ya mkwewe, Amani lina habari ya kusikitisha. Tukio hilo lililoacha simanzi kubwa lilijiri mwishoni mwa wiki iliyopita nyumbani kwa mlinzi huyo Mtaa wa Mafiga A mjini hapa.Baada ya kutokea kwa tukio hilo baya, baadhi ya wananchi walitoa taarifa kwa mwandishi...

AZAM FC: TUNAPAMBANA KWA AJILI YA TAIFA KAGAME

0

KOCHA Msaidizi wa Azam FC, Idd Cheche amesema kuwa wachezaji watapambana kupata matokeo chanya kwenye michezo yote ili kurejea na kombe lao la Kagame. Azam kwa sasa ipo nchini Rwanda ambapo imekwenda kushiriki michuano ya Kagame na kesho itashusha kete yake ya kwanza kwa kumenyana na Mukura."Mchezo wetu wa kwanza ni kesho dhidi ya Mukura, hatuwatambui wapinzani wetu ila...

POGBA NOMA, KUPELEKA NYOTA WAWILI NDANI YA UNITED

0

REAL Madrid wajanja sana wameamua kuwapa wachezaji wawili mabosi wa Manchester United ili kuipata saini ya kiungo wao Paul Pogba.Imeelezwa kuwa Madrid kwa sasa inahaha kuipata saini ya nyota huyo ambaye anawindwa pia na klabu yake ya zamani ya Juventus.Madrid wapo tayari kutoa kiasi cha fedha cha pauni milioni 70 pamoja na wachezaji wawili ambao ni Gareth Bale na...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMAMOSI

0

MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la CHAMPIONI Jumamosi

SENEGAL YAKIRI MUZIKI WA UGANDA ULIKUWA WA MOTO

0

LICHA ya kikosi cha timu ya Taifa ya Senegal kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Uganda kwenye mchezo wa hatua ya 16 bora ya michuano ya Afcon nchini Misri, kocha wa Senegal, Aliou Cisse amesema kuwa alikutana na timu ngumu.Bao pekee la ushindi la Senegal lilifungwa na mshambuliaji wa kimataifa anayekipiga Liverpool, Sadio Mane dakika ya 15...

KAGERA SUGAR: MSIMU UJAO TUTATISHA

0

KOCHA wa kikosi cha Kagera Sugar, Meky Maxime amesema kuwa kwa sasa wamejipanga kufanya usajili makini utakaowafanya walete ushindani ndani ya Ligi Kuu Bara.Msimu wa 2018-19 Kagera Sugar ilinusurika kushuka daraja jambo lililowapa darasa la kutosha na kuwafanya wajipange sawa sawa msimu ujao."Kwa sasa tumejipanga na tumeanza kazi ya kufanya usajili makini ambao utatufanya tulete ushindani msimu ujao, mpaka...

DILI LA AFRIKA KUSINI LAWA GUMU KWA DIDA WA SIMBA

0

DEOGRATIUS Munish ambaye ameachana na Simba baada ya kumaliza kandarasi yake ya mwaka mmoja amesema kuwa kwa sasa bado hajajua ni timu gani ataichezea kutokana na mipango kutokamilika.Dida ambaye alisajiliwa na Simba akitokea timu ya Amatuks ya Afrika Kusini alikuwa na mpango wa kurejea huko ila kwa sasa amesema mambo hayajakaa sawa."Bado sijajua nitachezea timu gani msimu ujao kwani...

MZEE AKILIMALI AMCHANA AJIBU, AMUITA KIRUSI

0

BAADA ya juzi Jumatano, Simba kumtangaza Ibrahim Ajibu kuwa mchezaji wao mpya, Katibu wa Baraza la Wazee la Yanga, Ibrahim Akilimali ameibuka na kufunguka kuwa mshambuliaji huyo alikuwa kama kirusi katika timu yao.Ajibu ambaye alijiunga na Yanga msimu wa 2017/18 akitokea Simba, msimu uliopita aliisaidia Yanga kumaliza nafasi ya pili katika Ligi Kuu Bara huku yeye akimaliza kuwa kinara...