SIMBA YAKIRI KUTOMLIPA MCHEZAJI MURSHID MSHAHARA WA MIEZI MIWILI, YATAJA SABABU

0

UONGOZI wa Simba umesema kuwa ni kweli unadaiwa na mchezaji wao Juuko Murshid anayecheza timu ya Taifa ya Uganda ila haina mpango wa kuachana naye kizembe.Mtendaji Mkuu wa Simba, Crescentius Magori amesema kuwa, Murshid ni mtoro wa timu anapaswa arejee haraka kabla ya kuchukuliwa hatua."Tunadaiwa na Murshid mshahara wa miezi miwili, haina maana tunashindwa kumlipa hapana, yeye ametoroka kambini...

NGASSA: TUTAPAMBANA KIUKWELI MSIMU UJAO

0

KIUNGO mshambuliaji  wa Yanga, Mrisho Ngassa amesema kuwa anafuraha kuona anaendeleza makali yake ndani ya kikosi hicho na anaamini watapambana kiukweli msimu ujao.Ngassa jana alifunga hat trick kwenye ushindi wa mabao 10-1 kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Tanzanite FC uliochezwa uwanja wa Highlands Parks, Moro.Akizungumza na Saleh Jembe, Ngassa amesema kuwa ni mwanzo mzuri kwake na timu pia...

UNITED YAMKOMALIA POGBA

0

OLE Gunnar Solskjaer, Meneja wa Manchester United amesema kuwa klabu hiyo haina mpango wa kumuuza staa wa timu hiyo Paul Pogba.Pogba hivi karibuni alifunguka kwamba hana mpango wa kubaki ndani ya kikosi hicho anahitaji kupata changamoto mpya."Manchester United ni klabu kubwa, kwa hiyo hailazimiki kuuza mastaa wake, suala la kuamua kama nitabaki na mchezaji gani ama nani nipo tayari...

ISHU YA VITA YA NAMBA NDANI YA SIMBA, GADIEL MICHAEL AMUACHIA MBELGIJI

0

 GADIEL Michael beki wa Simba na timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' amesema kuwa ishu ya namba ndani ya timu yake mpya anamuachia Kocha Mkuu, Patrick Aussems ambaye ni raia wa Ubelgij.Gadiel amesema kuwa haoni haja ya kuanza kufikiria namna gani atacheza ila kikubwa anajipanga kufanya vema kwa ajili ya manufaa ya timu."Sina mpango wa kugombania namba, hilo...

WACHEZAJI WATATU WAONDOKA SIMBA

0

UONGOZI wa Namungo C upo katika mikakati ya mwisho kuhakikisha inawapata wachezaji watatu kwa mkopo kutoka katika klabu ya Simba.Taarifa za ndani ambazo Spoti Xtra imepata ni kwamba Mwenyekiti wa klabu ya Namungo, Hassan Zidadu ametuma maombi ya kupata wachezaji watatu ambao wanamudu kucheza sehemu yakiungo na ulinzi.“Namungo wameomba wachezaji watatu kutoka simba kwa mkopo ambao wanamudu kucheza kama...

KABLA HATA YA LIGI KUANZA, MBRAZIL SIMBA AANZA NA YANGA

0

Beki mpya wa Simba kutoka Brazil, Gerson Fraga amesema kuwa anatamani msimu mpya uanze haraka ili aoneshe kile alichonacho.Akizungumza mara baada ya kutua nchini Afrika Kusini ambapo kikosi cha Simba kimeweka kambi maalum kujiandaa na msimu ujao, ameelezea matamanio yake ya kucheza Ligi Kuu Bara.Fraga amefunguka kuwa anatamani zaidi pia kucheza mechi dhidi ya watani wao wa jadi Yanga baada...

JULIO ASHANGAA KOCHA SIMBA KUTOPEWA STARS, ATAJA SABABU

0
Habari za Michezo

Kocha wa zamani wa klabu ya Simba, Jamhuri Kihwelo 'Julio' ameshangaa kutokuona watanzania wakipewa nafasi ya kuifundisha Taifa Stars.Kauli ya Julio imekuja siku chache mara baada ya Kocha Mrundi Ettiene Ndayiragije kuchaguliwa kukaimu nafasi ya Emmanuel Amunike aliyekuwa akiinoa timu hiyo.Julio amemtaja Abdallah King Kibadeni kuwa mmoja wa makocha ambao wana heshima kuwa katika soka la Tanzania akipendelea wapewe...

AZAM FC KESHO KITAELEWEKA KWA TP MAZEMBE

0

UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa kesho lazima wapambane mbele ya TP Mazembe ili kutinga hatua ya nusu fainali ya michuano ya Kagame.Akizungumza na Saleh Jembe, Kocha Mkuu wa Azam FC, Ettiene Ndayiragije amesema kuwa hakuna mchezo mwepesi ila wanapeleka timu uwanjani wakitafuta matokeo chanya."Tupo vizuri tutakwenda uwanjani kutafuta matokeo chanya, tunashukuru Mungu tupo salama, tumeanza na tunaendelea kuimarika...

BREAKING: KIKOSI KIPYA STARS CHATANGAZWA KWA AJILI YA CHAN, JUMA KASEJA AREJEA

0

Etienne Ndayiragije atangaza kikosi kipya kwa ajili ya mashindano ya CHAN