MRITHI WA SARRI NDANI YA CHELSE, LAMPARD KUTANGAZWA BAADA YA MASAA 48

0

Frank Lampard anapewa nafasi kubwa ya kurejea kwenye timu yake ya zamani ya Chelsea akiwa ni meneja ndani ya siku mbili.Mchezaji huyo wa zamani anatajwa kurejea ndani ya Stamford Bridge pamoja na mchezaji mwingine wa zamani Jody Morrris huku wakitarajiwa kutangazwa ndani ya masaa 48 yanayofuata kwa mujibu wa talkSport.Lampard mwenye miaka 41 amekuwa akitajwa kuwa chaguo namba moja...

MANCHESTER UNITED WAIPIGA CHINI OFA YA NEYMAR

0

MANCHESTER United wameipiga chini ofa ya kubadilishana mchezaji wao Paul Pogba na timu  ya Paris Saint Germain (PSG) kumpata Neymar.Pogba anaonekana ana mpango wa kusepa Old Trafford msimu huu baada ya kusema kwamba ni muda wake sahihi wa kupata changamoto mpya.Real Madrid na Juventus wote wameonekana wakipambana kuipata saini yake huku Neymar akifikiria kurejea Barcelona.Mbrazili huyo ameonyesha nia yake ya kurejea...

ULE MSELELEKO WA DStv WIKIEND HII UNAKUJIA NA MAJAMAA WA WATUBAKI…USIPOCHEKA UNASHIDA YA BANDAMA….

0

Vunja mbavu na Vichekesho vya Watubaki kila siku za Jumamosi saa 3 usiku kupitia chaneli ya Maisha Magic Poa 144 inayopatikana kuanzia kifurushi cha Poa 9,900/= tu ndani ya @dstvtanzania pekee.Piga *150*53# kulipia kwa urahisi zaidi.#DStvEwaaaah

ZAHERA ATAJA SABABU NYINGINE YA KUFUNGWA NA OKWI, AWATAJA CAF

0

BAADA ya timu ya taifa ya DR Congo kupokea kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa Uganda, juzi Jumamosi, Kocha Msaidizi wa DR Congo, Mwinyi Zahera amesema kuwa chanzo cha kipigo hicho ni uchovu walioupata siku moja kabla ya mchezo huo.Kikosi hiko cha DR Congo ambacho kimejaa mastaa, kimejikuta kikichezea kichapo hicho katika mchezo wao wa kwanza wa Kundi A...

SIMBA SC YABADILI GIA KWA OKWI

0

BAADA ya hivi karibuni mshambuliaji wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi kudaiwa kugoma kuongeza mkataba wa kuendelea kuitumikia timu hiyo, sasa mambo yamekaa sawa.Habari njema kwa mashabiki wa Simba ni kwamba Okwi ambaye sasa yupo na kikosi cha timu ya taifa ya Uganda michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon 2019) anadaiwa kukubali kuongeza mkataba wa kuendelea kuitumikia Simba.Inadaiwa...

Baada ya kuchapwa 2-0,2-0, Harambee Stars vs Stars si mchezo wa marudio, ni vita

0

UKIZITOA timu wenyeji wa michuano Misri, Morocco na Algeria ambao tayari wamekwishacheza na Tunisia wanaotaraji kucheza mchezo wao wa kwanza katika Kundi la Nne, timu nyingine 11 zenye wachezaji ‘weusi’ tu zina tatizo ‘kubwa la kufanana’.Nje ya tatizo la kimbinu na ufundi, ‘Ball touches’ ya kwanza imekuwa tatizo kubwa kwa timu za Zimbabwe, DR Congo, Uganda, Nigeria,...

Tusimlaume FEI TOTO, Tatizo liko hapa !

0

Jana tulikuwa na mechi ya kwanza ya mashindano ya Afcon baada ya kukaa miaka 39 bila kushiriki michuano hii mikubwa barani Afrika.Kwa bahati mbaya mechi yetu ya kwanza ilikuwa dhidi ya Senegal, timu ambayo ni kubwa sana kwetu na timu ambayo ni bora katika bara la Afrika.Matokeo yaliyotokea yalikuwa ni matokeo ambayo yalitegemewa kwa sababu Senegal imeizidi...

MAZEMBE YAWAFUATA FEI TOTO, TSHABALALA DAR

0

KIGOGO wa TP Mazembe yupo Jijini Dar es Salaam kufanya mazungumzo ya awali na Simba na Yanga. Si hao tu pia wanazungumza na wakala wa straika wa Serengeti Boys, Kelvin John ‘Mbappe’.Habari za uhakika ambazo Spoti Xtra imezipata kutoka kwa mmoja wa viongozi wa Yanga ni kwamba, Mazembe wanawataka wachezaji hao watatu kwa mpigo lakini mazungumzo yako kwenye hatua...

TAZAMA MAKALI YA KIPYA MPYA ANAYETAJWA KUTUA YANGA – VIDEO

0

Tazama makali ya kipa Farouk Shikalo anayetajwa kuwa kwenye mazungumzo ya kusajiliwa na Yanga.

KAMBI YA YANGA NI BAB KUBWA

0

WAKATI Yanga wakiwa wanakamilisha zoezi la usajili ndani ya kikosi hicho kwa msimu ujao imebainika kwamba viongozi wa timu hiyo chini ya mwenyekiti wake, Mshindo Msolla wanaandaa kambi babkubwa itakayokuwa ugenini kwa ajili ya kikosi hicho.Yanga wana mipango ya kuanza kambi mapema kama agizo la kocha wao Mwinyi Zahera ambaye anataka timu hiyo iunge vizuri kabla ya kuanza kwa...