RASMI SIMBA YAJIONDOA MICHUANO YA KAGAME
Mabingwa wa Tanzania Bara, Simba SC wamejitoa kwenye michuano ya Kombe la Kagame iliyopangwa kuanza kutimua vumbi Julai mwaka huu nchini Rwanda. Akizungumza na Saleh Jembe Mtendaji Mkuu wa Simba Crescentius Magori amesema ni kweli wameamua kujitoa kwenye michuano hiyo huku kutokana na kubwana na ratiba."Muda wa maandalizi ya msimu ujao ni finyu kwani kuna baadhi ya wachezaji wako kwenye...
BEKI WA ZAHERA YANGA MGUU NJE MGUU NDANI
BEKI wa Yanga, Paul Godfery 'Boxer' kipenzi cha Mwinyi Zahera kwa sasa haelewi chochote kinachoendelea juu yake msimu ujao kutokana na kutopewa taarifa zozote ndani ya klabu hiyo.Boxer msimu uliopita alionyesha uwezo mkubwa kwenye mechi zake alizocheza ambapo alikuwa mhimili kwa upande wa mabeki wa Yanga licha ya kupandishwa kutoka timu ya vijana.Akizungumza na Championi Ijumaa, Boxer alisema kuwa...
Safari ya Etiene kwenda Azam imetimia?
Uongozi wa KMC umekiri kuachana na kocha wao Etienne Ndayiragije, baada ya mazungumzo baina ya pande mbili.Taarifa kutoka KMC inasema kulikuwa na mazungumzo ya pande mbili ili kukubaliana kumpa mkataba mwingine, kitu amabacho Etiene aliomba kutokuwa na mkataba mpya ili akapambane na changamoto nyingine.Etiene aliingoza KMC katika msimu wake wa kwanza Ligi Kuu Tanzania bara, na kushika...
KMC SASA KUSAJILI WA KIMATAIFA
BAADA ya kikosi cha Manispaa ya Kinondoni, KMC kupata zali la kushiriki michuano ya kimataifa msimu wa mwaka 2019/20 uongozi umepania kuboresha kikosi kwa ajili ya maandalizi ya michuano hiyo ya kimataifa.Akizungumza na Saleh Jembe, Ofisa Habari wa KMC, Anwari Binde amesema kuwa kwa sasa watabadilisha mtindo wa kusajili kutokana na kupata nafasi hiyo hivyo lazima wafanye kitu cha...
KUMEKUCHA NAMUNGO, BAADA YA KUIBOMOA ALLIANCE, SASA KUIBOMOA YANGA
BAADA ya Namungo FC kumsajili mshambuliaji wa Alliance FC, Bigirimana Blaise kwa kandarasi ya mwaka mmoja imeelezwa kuwa wanaiwinda saini ya mlinda mlango wa Yanga, Ramadhan Kabwili ili aongeze nguvu kwenye kikosi chao.Kabwili kwa sasa mkataba wake na Yanga imeelezwa umemalizika na bado hajaitwa mezani kuzungumzia ishu yake hali inayompa nafasi ya kuwa huru kuzungumza na timu yoyote inayomhitaji...
MUONEKANO WA UKURASA WA NYUMA GAZETI LA CHAMPIONI IJUMAA
MUONEKANO wa Ukurasa wa nyuma Gazeti la CHAMPIONI Ijumaa
MUONEKANO WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI IJUMAA
MUONEKANO wa Ukurasa wa Mbele Gazeti la CHAMPIONI Ijumaa
HIVI NDIVYO PLUIJM ALIVYOIBUKIA YANGA
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amesema kuwa anaogopa kufanya kazi na mzawa kwa kuwa ana mfano hai aliouona kwa kocha wa Azam FC Hans Pluijm ambaye alitimuliwa ndani ya Azam FC.Hii ni kutokana na kile kilichoelezwa kwamba anatafutiwa kocha msaidizi ambaye atafanya naye kazi msimu ujao kwenye benchi la ufundi.Zahera amesema kuwa alikaa na Pluijm baada ya kupigwa...
KIPA AGOMEA MKATABA SIMBA / KABWILI SAMATTA MFANO WA KUIGWA – VIDEO
Kipindi cha Spoti House kimeendelea tena, pata nafasi ya kuwasikiliza wachambuzi mbalimbali wa mabo ya soka kuhusiana na mpira wa miguu.
NYOTA SIMBA KUIBUKIA NAMUNGO
IMEBAINIKA kuwa nyota wa Simba, Adam Salamba amekuwa akiwindwa na klabu ya Namungo FC ambayo imepanda daraja pamoja na timu ambayo amewahi kuichezea na Lipuli FC.Salamba amekuwa akitajwa kuwa ni mchezaji wa simba ambaye Kocha Patrick Aussems hana mpango naye kwa msimu ujao wa ligi na huenda akachwaa au kutolewa kwa mkopo.Hivyo amekuwa akiwindwa na klabu ya Namungo ambayo...