RAIS CAF AKAMATWA NA POLISI AKIWA HOTELINI
Rais wa Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) Ahmed Ahmed amekamatwa na Polisi wa kuzuia rushwa nchini Ufaransa.Ahmad amekamatwa akiwa Hotelini Mjini Paris, Ahmed alikuwa kwenye hotel ambayo alikuwa akikaa wakati akihudhuria mkutano Mkuu wa FIFA.Taarrifa zinasema kuwa inadaiwa Rais huyo anatuhumiwa kwa matumizi mabaya ya ofisi na Rushwa.
KMC WAIPA AZAM FC KOCHA
UONGO ZI wa wa timu yamanispaa ya Kinondoni, KMC umesema kuwa hauna tatizo na kocha Etienne Ndayiragije iwapo atahitaji kuondoka kwani ni maisha ya soka yalivyo.Imeelezwa kuwa Ndayiragije tayari amenaswa na uongozi wa Azam FC kwa ajili ya kubeba mikoba ya aliyekuwa kocha mkuu Hans Pluijm aliyefungashiwa virago kwa kile kilichoelezwa kufanya vibaya kwenye ligi.Meya wa Manispaa ya Kinondoni,Benjamini Sita amesema kwa...
AZAM KUIFUMUA YANGA, KMC
UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa utamtangaza kocha wa kikosi hicho hivi karibuni huku akidokeza kuwa anatoka ndani ya Ligi ya bongo.Ofisa Mtendaji Mkuu wa Azam FC, Abdulkarim Popat amesema ni suala la muda kwa kuwa mipango ipo sawa."Kila kitu kwa sasa kipo sawa na tutamtangaza kocha muda wowote hivi karibuni, anaweza kuwa wa KMC,(Etiene Ndiyaragije), ama yule wa...
ZAHERA ALIAMSHA DUDE YANGA, AWAGOMEA MAKOCHA WAZAWA
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amesema kuwa hatokuwa tayari kufanya kazi na kocha mzawa ambaye atatafutiwa na viongozi wa Yanga.Zahera amesema ameskia taarifa za viongozi wa Yanga kuanza kufanya mchakato wa kumtafutia kocha msaidizi kwa ajili ya msimu ujao ambaye atakuwa mzawa jambo ambalo hakubaliani nalo."Najua kuna matatizo makubwa sana kufanya kazi na mzawa, haina maana kwamba hawezi...
MCHUNGAJI MASHIMO, MANARA HAPATOSHI!
MCHUNGAJI wa Kanisa la Emmaus Bible Church, Daudi Mashimo amemtaka Msemaji wa Timu ya Simba, Haji Manara kumuomba radhi msanii Amber Rutty baada ya kumkashfu mitandaoni.Hivi karibuni, Mashimo alisema Timu ya Simba haiwezi kuwa bingwa, lakini matokeo yakawa kinyume chake ambapo mapaparazi wachokozi walimuuliza Manara anauchukuliaje utabiri wa mchungaji huyo ndipo akasema;“Akamtabirie Amber Rutty atapiga tena lini zile ‘picha...
EXCLUSIVE: KAPOMBE ATEMWA RASMI TAIFA STARS
Na George MgangaBeki wa kulia wa Simba Shomari Kapombe, ametemwa rasmi katika kikosi cha timu ya taifa kutokana na kusumbuliwa na majeruhi.Kapombe aliumia siku kadhaa zilizopita kwa kujitonesha kidonda chake jambo ambalo lilisababisha Kocha Emmanuel Amunike amuondoe kwenye programu ya mazoezi.Akizungumza na Radio EFM, Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania, Wilfred Kidao, amesema Kapombe hawezi kuwa sehemu ya...
STARS: TUNAKWENDA KUFANYA KWELI AFCON
NAHODHA wa timu ya Taifa ya Tanzania anayekipiga KRC Genk ya Ubelgiji, Mbwana Samatta amesema kuwa wanatambua kazi kubwa waliyopewa na Taifa hivyo watakwenda Misri wakiwa na lengo moja kupata matokeo chanya kwenye michuano hiyo ya Afcon itakayofanyika kuanzaia 21Juni nchini Misri.Akizungumza na Saleh Jembe, Samatta amesema kuwa muda wa miaka 39 iliyopita bila Taifa kuwa na mwakilishi ni...
MKENYA ATANGAZA KUTUA YANGA
Kutokana na usajili wa kutisha ambao unafanywa na Yanga hadi sasa kwa ajili ya kujiandaa na msimu ujao, mshambuliaji Mkenya Duke Abuya ameweka wazi kwamba naye karibuni anaweza kuwa miongoni mwao.Mkenya huyo amekoshwa na aina ya usajili ambao unafanywa na viongozi wa Yanga ambapo hadi sasa wameshawapa mikataba wachezaji sita.Wachezaji hao ambao wamesajiliwa ni Lamine Moro, Patrick Sibomana, Issa...
MUONEKANO WA GAZETI LA SPOTI XTRA KATIKA UKURASA WA MBELE LEO ALHAMIS
MUONEKANO WA GAZETI LA SPOTI XTRA KATIKA UKURASA WA MBELE LEO ALHAMIS
VIDEO: STRAIKA MPYA ATUA USIKU YANGA, ASAINI NA KUSEPA
Yanga imeshusha rasmi straika Mnamibia Sadney Urikhob anayekipiga klabu ya Tura Magic na timu ya Taifa ya Benin.Huyo anakuwa mchezaji wa saba kusaini Yanga kama mazungumzo yatakwenda vizuri wengine ni Patrick Sibomana, Lamine Moro, Issa Bigirimana, Maybin Kalengo, Farouk Shikalo, Erick Rutanga na Urikhob mwenyewe.