LACAZETTE AIBUA MASWALI KUPITA MITAA YA BARCELONA

0

STRAIKA wa Arsenal, Alexandre Lacazette ameonekana katika mitaa ya jiji la Barcelona juzi na kuzua maneno. Baada ya kuonekana huko, ndio wadau wa soka wakadai kuwa Lacazette huenda ametua kukutana na viongozi wa klabu ya soka.Barcelona inajulikana inasaka straika wa kati na miongoni mwa mastaa akiwemo Lacazette . Lacazette amepachika mabao 19 katika mechi 48 ambazo ameichezea Arsenal msimu wa 2018/19.Klabu hiyo inatafuta mbadala wa Luiz...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATATU

0

MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la Championi Jumatatu

JIPYA LAIBUKA JUU YA NINJA NA YANGA

0

INAELEZWA beki wa kati wa Yanga, Abdallah Shaibu ‘Ninja’ anatakiwa na moja kati ya timu zinazoshirikiLigi Kuu ya Zambia lakini amepatwa na kigugumzi kufuatia viongozi wa timu hiyo kumtaka kwanza atulie.Beki huyo amemaliza mkataba na timu hiyo baada ya kujiunga nayo akitokea Taifa Jang’ombe kwa mkataba wa miaka miwili ambapo mpaka sasa licha kudaiwa kupata timu nchini Zambia.Chanzo cha...

MZEE MAGALI ALIVYOMWEKEA UPUPU MWALIMU WAKE

0

Mkali wa filamu za Kibongo, Charles Magali ameibuka na kuweka wazi siri aliyokuwa ameificha toka utotoni na kudai kuwa aliwahi kumuwekea mwalimu wake upupu kwenye kiti chake.Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Mzee Magali alisema katika maisha yake alikuwa mbabe tangu utotoni na anakumbuka alipokuwa shule kuna ugomvi ulitokea kati yake na wanafunzi wenzake, mwalimu akampiga kitendo kilichomkera na ndipo akajiapiza...

BAADA YA KUIREJESHA AZAM KIMATAIFA, CHIRWA AJISOGEZA YANGA

0

STRAIKA anayepambana kwa udi na uvumba arudishwe Yanga, Obrey Chirwa juzi Jumamosi aliipa Azam tiketi ya kushiriki Kombe la Shirikisho Afrika.Chirwa amewaambia marafiki zake kwamba ana hamu sana ya kurudi Yanga lakini Spoti Xtra linajua kwamba Mwinyi Zahera amewaambia viongozi ; “Achaneni nae…mkaushieni.”Azam waliifunga Lipuli FC bao 1-0 katika mchezo wa fainali ya FA uliopigwa jana kwenye Uwanja wa...

NDEMLA: NITASAINI YANGA

0

KIUNGO mshambuliaji wa timu ya Simba, Said Ndemla amesema kuwa anahitaji kupata changamoto mpya msimu ujao hivyo kwa sasa anafikiria kwenda kucheza nje ya nchi msimu ujao ikishindikana atasaini hata Yanga.Ndemla msimu uliopita amekuwa na changamoto ya kupata namba ndani ya kikosi kilichotwaa ubingwa kwa mwaka 2018/19 hali iliyofanya asionyeshe yale makeke waliyozoea mashabiki."Nina mpango wa kwenda kucheza nje...

CAF YAITISHA KIKAO CHA DHARULA

0

Rais wa Shirikisho la Soka barani Afrika CAF, Ahmad Ahmad ameitisha kikao cha dharura cha Kamati ya Utendaji ya shirikisho hilo kufuatia sintofahamu katika mchezo wa pili wa fainali ya Klabu Bingwa Afrika. Mei 31 nchini Tunisia kati ya wenyeji Esperance de Tunis na Wydad Casablanca ya Morocco mchezo uliisha kwa sintofahamu kufuatia klabu ya Wydad kugomea kuendelea na mchezo...

LIPULI YAFICHUA KILICHOWAPONZA MBELE YA AZAM FC

0

KOCHA wa Lipuli, Seleman Matola amesema kuwa kilichowaponza wakapoteza mchezo wao wa fainali mbele ya Azam FC jana uwanja wa Ilulu ni kushindwa kutumia nafasi ambazo walizipata kwenye mchezo huo uliokuwa na ushindani mkubwa.Lipuli ilikubali kupoteza dakika ya 64 baada ya mlinda mlango wa Azam FC, Razack Abarola kupiga pasi ndefu iliyomkuta Obrey Chirwa aliyemshinda beki wa Lipuli Haruna...

KINDOKI WA YANGA KUIBUKIA TIMU HII TPL

0

IMEELEZWA kuwa mlinda mlango namba moja wa kikosi cha Yanga, Klaus Kindoki anawindwa na klabu ya Singida United ili kuongeza nguvu upande wa ulinzi msimu ujao.Kindoki raia wa Congo hajawa na msimu mzuri kwenye kikosi hicho kutokana na kufanya makosa mengi ya kiufundi hali iliyosababisha kuwe na taarifa kwamba huenda msimu huu klabu hiyo ikaachana na mlinda mlango huyo...