AZAM YAIFANYIA UMAFIA WA AINA YAKE YANGA KWA METACHA
Azam FC imesisitiza kwamba, kipa anayetajwa kumalizana na Yanga, Metacha Mnata, ataitumikia Azam FC msimu ujao na wala haendi sehemu nyingine.Kauli ya Azam FC imekuja huku kukiwa na taarifa za Yanga kumalizana na kipa huyo ambaye yupo Misri na timu yataifa ya Tanzania, Taifa Stars kwenye michuano ya Afcon.Metacha ambaye alikuwa kwa mkopo Mbao FC akitokea Azam FC, hivi...
SIMBA YAINGIA MKATABA WA MIAKA MIWILI NA KIFAA KINGINE KIPYA KUTOKA BRAZIL, KIMECHEZA NA NEYMAR
Mchezaji mwingine kutoka Brazil mwenye uwezo mkubwa wa kucheza nafasi ya beki wa kati na kiungo mkabaji, Gerson Fraga Vieira (26) amesaini mkataba wa miaka miwili na Simba SC.Vieira ambaye amewahi kuwa nahodha wa timu ya Taifa ya wachezaji chini ya miaka 17 ya Brazil iliyokuwa na wachezaji maarufu kama Neymar, Philippe Coutinho, Casemiro na golikipa Alisson.Feaga pia alicheza...
Juuko siyo aina ya mchezaji wa Simba!
Kuna mengi yanazungumziwa sana kwa sasa baada ya michuano ya Afcon kuanza. Tanzania tunalalamika, Kenya walalamika lakini Uganda wanafurahia.Wako katika mazingira mazuri kwenye michuano hii ndiyo maana wanafurahia. Wameanza vizuri michuano hii, wamempiga Congo magoli 2-0.Katika ushindi huo kuna wachezaji wawili wa Simba ambao walionesha kiwango kikubwa. Emmanuel Okwi ambaye alikuwa nyota wa mchezo huo na Juuko...
KUMEKUCHA, SIKU SITA TU ZIMEBAKI AJIBU KUMFUATA TSHABALALA SIMBA
LICHA ya Yanga kukata tamaa juu ya kumbakiza kiungo mshambuliaji Ibrahim Ajibu, mabosi wa timu hiyo wamempa siku sita kwa ajili ya kuamua hatma yake kabla ya kufungwa usajili wa Shirikisho la Soka la Afrika (Caf).Hivi karibuni Yanga waliweka hadharani kwamba licha ya kufanya jitihada za kuzungumza na kiungo huyo lakini mazungumzo yao kushindwa kufikia muafaka.Ajibu amemaliza mkataba wake...
WALIOMALIZA MIKATABA NA MAJEMBE MENGINE MAPYA HAWA HAPA , NI LISTI KAMILI- VIDEO
YANGA imesajili wachezaji saba wa kigeni ambao ni mabeki, Lamine Moro (Ghana) na Mustapha Selemani (Burundi). Washambuliaji, Sadney Ukhob (Benin), Issa Bigirimana (Burundi), Patrick Sibomana (Rwanda), Juma Balinya (Uganda) na Kalengo Maybin (Zambia).
PIERRE LIQUID AICHAMBUA KIUFUNDI MECHI STARS VS SENEGAL – VIDEO
SHABIKI wa Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars Pierre Liquid ambaye aliungana na wabunge wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kwenda Misri kuishangilia Timu ya Taifa Stars ikicheza na Senegal na kupata kipigo cha mabao 2-0.
KAHATA NA SIMBA MAMBO YAMEIVA
Inaweza ikawa taarifa nzuri zaidi kwa mashabiki na wapenzi wa klabu ya Simba ambapo taarifa zinasema mabingwa hao watetezi wa Ligi Kuu Bara bado wapo kwenye mazungumzo na Francis Kahata kwa ajili ya kujiunga nao.Kahata ambaye amemaliza mkataba na Gor Mahia FC ya Kenya, anaelezwa kufikia pazuri kimazungumzo na Simba na kuna uwezekano mkubwa akajiunga nao mwezi ujao.Taarifa kutoka...
YANGA YAONYESHA JEURI YA FEDHA, USAJILI WAKE KUFURU
YANGA wametumia zaidi ya Sh900mil mpaka lengo likiwa ni moja tu kusuka kikosi chenye muonekano mpya na hadhi ya klabu hiyo. Fungu hilo ambalo limetokana na michango mbalimbali ya wadau na wanachama wa Yanga ni kwa kuanzia tu kwani bado mchakato unaendelea na huenda ukamalizika wiki ijayo.Habari za uhakika kutoka ndani ya uongozi wa Yanga ni kwamba wameweka makadirio...
HILI SASA NI BALAA, MAMA TANASHA AZUIA NDOA YA MONDI NA MWANAYE
Achana na sababu alizowahi kuzitoa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ juu ya kuahirisha ndoa yake na Tanasha Donna Oketch, lakini kumbe nyuma ya pazia, mama mzazi wa mrembo huyo, Diana Oketch anadaiwa kuwa ndiye chanzo kikuu, Gazeti la Ijumaa limedokezwa.Diana, mama anayeonekana bado anaita na akitembea na Tanasha unaweza kubisha kuwa siyo mama na mwanaye kutokana na mwonekano wao,...