KIPI HASA KINAKUUMIZA KWA AJIBU NA JONAS MKUDE?
Na Saleh AllyMIAKA mitatu iliyopita wakati kikosi cha Taifa Stars kambini nchini Uturuki, Kocha Mkuu Charles Boniface Mkwasa alilalamika kuhusiana na wachezaji wavivu wa mazoezi. Kati ya aliowataja alikuwa ni Ibrahim Ajibu na Abdi Banda.Mkwasa alimueleza Banda mbele yetu tuliokuwa mazoezini katika kambi katika Mji wa Kartepe, Uturuki kwamba kama atamuita tena akaumia wakati wa mazoezi ya kupima utimamu...
Yanga nayo yaikimbia As Vita, yajitoa Kagame
Juzi Simba Sc ilitoa taarifa ya kujiondoa katika mashindano ya klabu bingwa Afrika mashariki na Kati (Kagame Cup). Leo hii imetoka barua ya Yanga kujitoa katika mashindano hayo.Yanga imetoa sababu nyingi za wao kujitoa katika mashindano hayo ambayo yanatarijiwa kuanza mwezi wa 7 mwaka huu, sababu ambazo zimeifanya Yanga kujitoa ni zifuatazo.-Wachezaji wengi wa Yanga kumaliza mikataba...
YANGA YAJIONDOA KAGAME
Klabu ya yanga imejiondoa rasmi kwenye michuano ya Kagame CUP ambayo inatarajiwa kuanza hivi karibuni huko Rwanda.
MFAHAMU VIZURI MAYBIN KALENGO, MTAMBO MPYA WA MABAO YANGA – VIDEO
Mfahamu vizuri mchezaji Maybin Kalengo aliyetajwa kumalizana na Yanga hapa.
BWALYA AITAMANI VIBAYA SIMBA – VIDEO
Taarifa zilizopo zinasema kuwa mchezaji Walter Bwalya kutoka Nkana Red Devils ya Zambia ameipa nafasi ya kwanza Simba kumalizana endapo watafikia makubaliano ya dau la usajili na mkataba.
MAJEMBE KUMI MAPYA YALIYOTAJWA KUTUA SIMBA HAYA HAPA, NI MAJIBU YA MAPIGO KWA YANGA
Kuelekea Msimu Ujao Wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Klabu Ya Simba Imepania Kufanya Usajili Hatari Kushinda Msimu Uliopita. Hawa Ni Wachezaji 10 Wapya Wanaoelezwa Kuhitajika Na Klabu Ya Simba.
KOCHA WA KINDOKI AMPA ONYO AISHI MANULA KISA TAIFA STARS ‘AWE MAKINI’
Kipa wa zamani wa Yanga, Juma Pondamali, amemshauri kipa wa Taifa Stars, Aishi Manula kuongeza jitihada langoni.Pondamali amezungumza hayo ikiwa ni siku mbili zimepita tangu kusafiri kwa Stars kuelekea Misri kwa ajili ya michuano ya AFCON.Ameeleza kwa kusema "Manula anapaswa awe makini zaidi langoni."Siku za hivi karibuni amekuwa akifungwa mabao ambayo huwezi tarajia, vema akaongeja jitihada."Pia namtakia kheri pamoja...
MASHABIKI YANGA MBEYA WAONESHA JEURI KUBWA YA PESA – VIDEO
Wasikilize mashabiki wa Yanga mkoani Mbeya wakielezea nia yao ya kuchangia kiasi cha shilingi milioni 10 kwa ajili ya kusaidia usajili ndani ya klabu hiyo.
MAJAMBAZI WAWILI WAUAWA NJOMBE
Jeshi la Polisi mkoani Njombe kwa kushirikiana na wananchi limefanikiwa kuwaua majambazi wawili huku mmoja akifanikiwa kutoroka kwa kutumia gari ndogo aina ya Special.Akizungumza na vyombo vya habari makao makuu ya jeshi hilo mjini Njombe kamishna msaidizi wa jeshi la polisi mkoa wa Njombe Salum hamduni amesema majambazi hao wameuawa kwa kujaribu kufanya unyang’anyi wa kutumia silaha mjini makambako...