SIMBA YAMALIZANA NA NYOTA HAWA WATATU WA KAZI, YANGA WAJIPANGE
WAKATI ikielezwa kwamba Yanga inawavizia Meddie Kagere na Jonas Mkude waachwe na Simba ili wawasajili, habari mbaya kwao ni kwamba, nyota hao kila mmoja aliongeza mkataba wa miaka miwili. Mbali na nyota…