Trending Stories
View All
MTIBWA SUGAR MNASTAHILI PONGEZI KWA KUTWAA TAJI LA MAPINDUZI 2020, WAZAWA WAMEONYESHA UKOMAVU
MICHUANO ya Kombe la Mapinduzi kwa mwaka 2020 safari yake ilihitimishwa rasmi, Januari 13, Jumatatu wiki hii ambapo mchezo wa…
KAGERA SUGAR: MASHABIKI NJOONI MUONE BURUDANI MBELE YA YANGA
MECKY Maxime, Kocha Mkuu wa Kagera Sugar hajawa na matokeo mazuri kwenye mechi zake za Ligi Kuu Bara ndani ya…
JAMES KOTEI AZUNGUMZIA ISHU YAKE NA YANGA, KILICHOMKUTA KAIZER CHIEFS ACHA KABISA
KIUNGO bora ndani ya klabu ya Simba msimu wa mwaka 2018/19 James Kotei ambaye alitimkia Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini…
AZAM FC KAZINI TENA EO MBELE YA LIPULI, TAIFA
ARSTICA Cioaba, Kocha Mkuu wa Azam FC leo ana kazi nzito mbele ya Lipuli FC kwenye mchezo wa ligi dhidi…
MBELGIJI WA YANGA KUTESTI MITAMBO LEO MBELE YA KAGERA SUGAR, TAMBO ZATAWALA
KOCHA Mkuu wa Yanga, Luc Eymael na msaidizi wake Riedoh Berdien ambao wamepewa kandarasi ya mkataba wa mwaka mmoja na…
TOTTENHAM WABISHI KWELI, WAIGOMEA MKWANJA WA INTER MILAN NA KUWAPA MASHARTI MENGINE
UONGOZI wa Tottenham umeigomea timu ya Inter Milan kumpata nyota wake Christian Eriksen ambaye yupo kwenye mpango wa kutimka ndani…
KICHAPO CHA BAO 1-0 MBELE YA MTIBWA SUGAR CHAFUMUA MIPANGO YOTE SIMBA, CHEKI HESABU ZAO KWA SASA
BAADA ya Simba kulipoteza mara ya pili mfululizo Kombe la Mapinduzi kwa kupokea kichapo cha 1-0 mbele ya Mtibwa Sugar…
YANGA NOMA YATAWALA KIKOSI CHA KWANZA, MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATANO
MUONEKANO wa Ukurasa wa Mbele Gazeti la CHAMPIONI Jumatano, Januari 15,2020, lipo mtaani
NAMNA SERIKALI ILIVYOMRUDISHA MO DEWJI SIMBA
Baada ya Mwekezaji Mkuu wa klabu ya Simba, Mo Dewji kutangaza kujiondoa katika Bodi ya klabu hiyo, Mkuu wa Mkoa…
NIYONZIMA AINYIMA UBINGWA SIMBA
Kiungo mtoa burudani awapo uwanjani, Haruna Niyonzima, amesema yupo katika kikosi cha Yanga ili kuipa ubingwa timu hiyo na si…
KOCHA YANGA AANZA NA SIMBA, HILI NDIYO TAMKO LAKE
Siku chache baada ya Mbelgiji, Luc Eymael kutua nchini kuja kuinoa Yanga, ametamba kwamba anataka sana kukutana na wapinzani wao…
WINGA MZAMBIA MAMBO SAFI YANGA
Achana na uwezo mkubwa aliouonyesha starika Muivory Coast, Yikpe Gnaimen, unaambiwa yupo winga Mzambia, Eric Kabamba, huyu ni hatari na…
MAXIME ASHANGAZWA NA MOHAMMED BANKA
Kiwango cha juu cha kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mohammed Issa ‘Banka’ ambacho hivi karibuni alikionyesha katika mchezo dhidi ya Simba,…
WINGA SIMBA ATUA YANGA KWA MILIONI 30
WINGA wa zamani wa Simba, Shiza Kichuya, amekubali kusaini mkataba wa kukipiga Yanga katika usajili wa dirisha dogo msimu huu…
SAA 168 ZATENGWA YANGA, HII NDIYO MIKAKATI YAKE CHINI YA MBELGIJI
KOCHA mpya wa Yanga, Luc Eymael, raia wa Ubelgiji, amefunguka kuwa ametenga wiki moja, sawa na saa 168 kwa ajili…
MANARA AZIDI KUUMIWA NA MTIBWA SUGAR, AFUNGUKA MENGINE MAZITO KUHUSIANA NA SIMBA
Wanasimba wenzangu!! Najua maumivu mliyopitia jana na nnafahamu karaha mnazopata toka kwa watani zetu, lakini niwaambie kitu kimoja, hili kwetu…