KIMBEMBE: PAMOJA NA KUTAMBULISHWA LEO, KUMBE NABI HAKUMTAKA MAKAMBO

0
Kocha wa Yanga Nesreddine Nabi amesharejea nchini na soka la bongo inafahamu Mtunisia huyo hakutaka kumsajili Makambo, lakini mabosi wa Yanga tayari walishafika mbali...

VIDEO: TFF YAFUNGUKIA KUHUSU NAMNA WANAVYOFUATILIA KWA UKARIBU KUHUSU MDAMU

0
KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wilfred Kidao amesema kuwa kutokana na matokeo ambayo wanayapata kwa timu za vijana wanaona mwaga hasa...

TANZIA: NYOTA MTIBWA SUGAR ATANGULIA MBELE ZA HAKI

0
 TANZIA: MADILU Mosha, aliyekuwa mchezaji wa Klabu ya Vijana ya Mtibwa Sugar ya Morogoro ametangulia mbele za haki.Taarifa rasmi iliyotolewa na Mtibwa Sugar kupitia...

VIDEO: MAKAMBO ASAINI YANGA, TAZAMA NAMNA ILIVYOKUWA

0
HERITIER Makambo, aliyekuwa anakipiga ndani ya Horoya AC ya Guinea kabla ya kuvunja mkataba huko ametambulishwa rasmi ndani ya Yanga baada ya kusaini dili...

PANGA LAPITA KAGERA SUGAR, 8 WAACHWA MAZIMA

0
 UONGOZI wa Kagera Sugar Football Club unapenda kutoa taarifa kwa wanamichezo pamoja na Wanahabari kuwa umeamua kutowaongeza mikataba mipya wachezaji 8 ambao mikataba yao...

VIDEO: TFF YASAINI MKATABA WA BILIONI 3 NA TBC

0
LEO Agosti 3, Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF) limeingia mkataba na Shirika la Utangazaji Tanzania, (TBC) kuhusu kurusha matangazo ya mpira wa miguu kwenye...

AZAM FC: JAMBO LETU HATUJAKAMILISHA HATA KIDOGO

0
 VIVIER Bahati, Kocha Msaidizi wa kikosi cha Azam FC amebainisha kwamba jambo lao ambalo walitarajia kulifanya kwa msimu wa 2020/21 halijatimia hata kidogo.Mwanzo wa...

SHEVA HATIHATI KUACHWA SIMBA

0
 KUNA hatihati nyota wa Simba mzawa Miaraj Athuman, 'Sheva' msimu ujao asiwepo ndani ya kikosi hicho kutokana na mabosi wa Namungo kutwaja kuwania saini...

BREAKING: MAKAMBO ATAMBULISHWA RASMI YANGA

0
BREAKING: DILI la usajili wa mshambuliaji wa zamani wa Horoya AC ya Guinea, Heritier Makambo limekamilika ambapo leo ametabulshwa rasmi ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine...

VIDEO: PETER BANDA,YANGA WAMDAKA JUU NA KUIFANYIA UMAFIA SIMBA

0
INAELEZWA kuwa mabosi wa Yanga wameifanyia umafia Simba katika ishu ya usajili wa mchezaji Peter Banda raia wa Malawi ambaye ni mshambuliaji mwenye miaka...