MZUNGUKO WA NNE ULIKUWA MOTO, MABAO 13 YAKUSANYWA, MBABE WAO NI KAHEZA NA KISSU
JANA Septemba 28, Ligi Kuu Bara mzunguko wa nne ulikamilika kwa mechi tisa kukamilisha kazi yao ya kusaka pointi tatu ndani ya uwanja.Kwenye mechi...
COASTAL UNION YAAMBULIA POINTI TATU KWA MARA YA KWANZA VPL
COASTAL Union inayonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda leo Septemba 28 imesepa na pointi tatu kwa mara ya kwanza ndani ya Ligi Kuu Bara...
COASTAL UNION YAAMBULIA POINTI TATU KWA MARA YA KWANZA VPL
COASTAL Union inayonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda leo Septemba 28 imesepa na pointi tatu kwa mara ya kwanza ndani ya Ligi Kuu Bara...
TFF YATOA ONYO KWA YANGA
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limetoa tamko likikemea kitendo cha mashabiki wa Yanga SC kuwafanyia fujo mashabiki wa Simba SC katika Uwanja wa Jamhuri...
UNITED BADO HAWAJAMPOTEZEA SANCHO
MANCHESTER United imesema kuwa itatumia nguvu kubwa kumpata nyota wa Borrusia Dortmund, Jadon Sancho ambaye inaelezwa kuwa yupo kwenye rada za mabosi hao.Sarakasi za...
MBWANA SAMATTA AANZA NA SARE UTURUKI
DABI ya Uturuki inayoikutanisha Galatasary na Fenerbahce anayochezea Mtanzania Mbwana Samatta iliyochezwa jana ilikamilika kwa sare ya kutofungana. Samatta aliingia dakika ya 66 akichukua nafasi...
M-Bet TANZANIA YATOA MAMILIONI KWA WATANZANIA WAWILI
MASHABIKI wa soka wawili nchini kila mmoja ameshinda kiasi cha Sh 79, 465, 240 baada ya kubashiri kwa usahihi matokeo ya mechi 12 za ligi...
KICHAPO CHA MABAO 5-2 WALICHOPOKEA CITY GUARDIOLA ASEMA NI PRESHA
PEP Guardiola, Kocha Mkuu wa Manchester City amesema kuwa hawakutengeneza nafasi nyingi kwenye mchezo wao dhidi ya Leicester City uliochezwa jana,Septemba 26 wakati ikifungwa...
KOCHA SIMBA APATA DILI LA MIAKA MITATU AFRIKA KUSINI
BLACK Leopard ya Afrika Kusini imempa dili la miaka mitatu, Patrick Aussems kukinoa kikosi hicho kwa msimu wa 2020/21.Aussems raia wa Ubelgiji alikuwa Kocha...
SVEN AWAPA TANO WACHEZAJI WAKE KWA KUTUMIA VEMA MIPIRA YA ADHABU
SVEN Vandenbroeck, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wachezaji wake wanazidi kuimarika na kuwa na uwezo wa kutumia mipira ya adhabu tofauti na ilivyokuwa...