KILICHO NYUMA YA USHINDI NI MAANDALIZI, TUNAHITAJI KUONA LIGI BORA

0
 LIGI Kuu Tanzania Bara imeanza kutimua vumbi Septemba 6 na 7 ilikamilisha mzunguko wa kwanza kwa ajili ya mbio za kumsaka bingwa mpya wa...

ALIYEWAPA TABU SIMBA APEWA DILI ARUSHA

0
AFC Arusha, leo Septemba 8 imemtangaza Atuga Manyundo kuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo inayojiandaa na michuano ya Ligi Daraja la Kwanza ,Tanzania bara.Manyundo...

ASTON VILLA YAIWINDA SAINI YA MSHAMBULIAJI OLLIE

0
KLABU ya Aston Villa ipo kwenye mchakato wa kukamilisha usajili wa kuipata saini ya mshambuliaji wa Brentford, Ollie Watkins ambaye awali dau lake lilitajwa...

KAGERE AFIKIRIA KUWEKA REKODI NYINGINE NDANI YA LIGI KUU BARA

0
 MEDDIE Kagere, mtupiaji namba moja wa muda wote kwa misimu miwili mfululizo ndani ya Klabu ya Simba amesema kuwa bado ana malengo ya kuendelea...

KOCHA MRUNDI AKUBALI MUZIKI WA KISINDA,AMTABIRIA MAKUBWA

0
 KOCHA Mkuu wa Aigle Noir ya Burundi, Gustave Niyonkuru, amevutiwa na kiwango kilichooneshwa na kiungo mshambuliaji mpya wa Yanga, Mkongomani, Tuisila Kisinda. Kisinda ni ingizo...

JAMES RODRIGUEZ MALI YA EVERTON

0
RASMI sasa, James Rodriguez raia wa Columbia atakipiga ndani ya Klabu ya Everton baada ya kusaini dili la miaka miwili kwa dau la thamani...

KOCHA YANGA: PUMZI TATIZO KWA WACHEZAJI

0
 KOCHA Mkuu wa Yanga, Zlatko Krmpotic amesema kuwa tatizo kubwa la wachezaji wake wa Yanga ni kutokuwa na pumzi ya kutosha kutokana na kuwa...

LIGI KUU ENGLAND MWENDO WAKE UTAKUWA KWA MTINDO HUU

0
 HUKO England ndani ya Ligi Kuu mambo yataanza Septemba 12 namna hii:- Fulham v Arsenal majira ya saa 8:30 mchana.Crystal Palace v Southampton majira...

UONGOZI SIMBA WATAJA KILICHOWAPA TABU MBELE YA IHEFU FC,MBEYA, HESABU ZAO ZIPO HIVI

0
 UONGOZI wa Simba umesema kuwa ulitambua mchezo wa kwanza wa ufunguzi dhidi ya Ihefu ungekuwa mgumu kutokana na mazingira ya miundombinu ya Mbeya kutokuwa...

MZUNGUKO WA KWANZA VPL NOMA,MABAO 14 YAFUNGWA,KMC BABA LAO

0
MZUNGUKOwa Kwanza kwa msimu wa 2020/21 umekamilika jana Septemba 7 baada ya kuanza kwa Ligi Kuu Bara Septemba 6. Jumla ya mabao 14 yamefungwa...