XAVI HERNANDEZ ATAKA KUINOA BARCELONA

0
STAA wa zamani wa Klabu ya Barcelona, Xavi Hernandez amefunguka kuwa kwa sasa ni wakati sahihi kwa yeye kurejea na kwenda kuinoa klabu yake...

MSHAMBULIAJI HUYU WA BURUNDI AKUBALI KUVAA UZI WA YANGA

0
BIGIRIMANA Blaise, raia wa Burundi anayekipiga ndani ya Namungo FC amesema kuwa hana hiyana ya kutua ndani ya Klabu ya Yanga iwapo watafuata taratibu...

BALAA LA CHAMA WA UCHEBE NA SVEN LIPO HIVI UWANJANI

0
CLATOUS Chama kiungo mshambuliaji wa Simba amezidi kuwa imara mbele ya Kocha Mkuu Sven Vandenbroeck kwa kutumia dakika nyingi uwanjani.Kabla ya Sven kutua Bongo,...

GIROUD AKUBALI KUTUA INTER MILAN MSIMU UJAO

0
Paris, Ufaransa. Olivier Giroud amefikia mwafaka kuhusiana na masilahi binafsi na Inter Milan inayotaka huduma katika majira ya kiangazi.Taarifa za awali zimedai mshambuliaji nguli...

MWISHO WA JANGA LA CORONA, WANAMICHEZO WASIO NA NIDHAMU, WATAUMBUKA

0
NA SALEH ALLYTUKO katika wakati mgumu na tunapaswa kukubaliana na hilo hata kama tunaendelea kuchukua tahadhari kuendelea kupambana na maambukizi ya Covid 19 maarufu...

GUMZO LA UNUNUZI WA NEWASTLE NA KASHFA YA KIFO CHA MWANDISHI KASHOGGI

0
Na Saleh AllyWAKATI dunia ikipambana na Corona, gumzo kubwa limeibuka katika Ligi Kuu England baada ya kuonekana mwana wa mfalme wa Saudi Arabia, Mohamed...

LONGSTAFF AWEKWA KWENYE HESABU ZA AC MILAN ATAJA MASHARTI YA KUWAGA WINO

0
MKATABA wa kiungo machachari ndani ya Newcastle United Matty Longstaff unameguka Juni 30 msimu huu huku Klabu ya AC Milan ikiwa sokoni kuisaka saini...

ISHU YA YANGA KUSHUSHA PANCHA MOJA MATATA UONGOZI WAFUNGUKA, WAKIRI KUWAFUATILIA KWA UKARIBU

0
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa unawafuatilia kwa karibu nyota wote wanaokipiga ndani ya Ligi Kuu Bara ili waweze kuona namna gani wanaweza kuzipata saini...

BEKI SIMBA AWAOMBA WATANZANIA KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA CORONA

0
GADIEL Michael, beki wa Simba anayevaa jezi namba mbili amesema kuwa wakati huu ni muhimu kila mmoja akachukua tahadhari dhidi ya Virusi vya Corona.Beki...

MLINDA MLANGO KAGERA SUGAR APATA MUDA WA KULEA BINTI WAKE

0
BENEDICT Tinoko, mlinda mlango wa Kagera Sugar amesema kuwa likizo ya lazima waliyopewa kutokana na maambukizi ya Virusi vya Corona imempa nafasi ya kumwona...