YANGA YA GSM WAIFUATA SAINI YA ‘KIBERENGE’ CHA AS VITA YA CONGO

0
KATIKA kuhakikisha wanafanikiwa kunasa saini ya winga wa As Vita, Tuisila Kisinda, uongozi wa Yanga unatarajia kutuma mwakilishi kwenda Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo...

KAGERA WATIA NGUMU MAXIME KUTUA YANGA

0
BAADA ya kuwapo kwa tetesi za Yanga kuendelea kumwania Kocha Mkuu wa Kagera Sugar, Mecky Maxime, uongozi wa timu hiyo umesema kocha wake haendi...

HAWA IHEFU WATOE DARASA KWA WAKONGWE NAMNA YA KUJIJENGA NA KUBORESHA MIUNDOMBINU

0
MIONGONI mwa timu ambazo zinajipanga kwa upande wa miundombinu kila iitwapo leo licha ya kutokuwa na jina kubwa ni pamoja na Ihefu SportsClub.Timu hii...

MTUPIA MABAO NAMBA MOJA NDANI YA YANGA KUSEPA MAZIMA

0
 KLABU ya ES Setif inayoshiriki Ligi Kuu ya Algeria imeweka ofa mezani kwa ajili ya kumnasa mshambuliaji wa Yanga, David Molinga ‘Falcao’.Nyota huyo ambaye...

NONGA: MUHIMU KWA WACHEZAJI KUCHUKUA TAHADHARI NA KUFANYA MAZOEZI

0
NAHODHA wa Lipuli, Paul Nonga amesema kuwa kwa sasa wanaendelea kuchuukua tahadhari dhidi ya Virusi vya Corona huku wakilinda vipaji vyao kwa kufanya mazoezi...

POLISI TANZANIA YATUMA UJUMBE HUU KUHUSU VIRUSI VYA CORONA

0
MALALE Hamsini, Kocha Mkuu wa Ndanda FC amesema kuwa ni jambo la msingi kwa kila mmoja kwa sasa kuchukua tahadhari dhidi ya Virusi vya...

ILIKUWA KITAMBO, SAINI YA NAHODHA WA MTIBWA SUGAR NA SASA NI KOCHA MKUU, CHEKI...

0
KOCHA Mkuu wa Mtibwa Sugar, Zubery Katwila mkataba wake wa kwanza kusaini ilikuwa ni mwaka 1999 mbele ya mmoja wa wakurugenzi wa wakati huo...

ISHU YA CHAMA NA KANDA YANGA WAIKOMALIA, HUYU HAPA SAUTI YA MWISHO

0
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa kwa sasa hauna mashaka iwapo Kocha Mkuu, Luc Eymael atapendekeza majina ya nyota wawili wanaokipiga ndani ya Simba ambao...

KOCHA COASTAL UNION AWATAKA WACHEZAJI KUCHUKUA TAHADHARI NA KULINDA VIPAJI VYAO PIA

0
JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Coastal Union amesema kuwa ni muhimu kwa wachezaji wake kufanya mazoezi kwa sasa kujiweka sawa licha ya kupitia kipindi...

MUUAJI WA SIMBA ABADILISHIWA MAZOEZI

0
BERNARD Morrison, kiungo mshambuliaji wa Yanga amebadilishiwa program na kocha wake, Luc Eymael ambapo kwa sasa anafanya mazoezi ufukweni.Morrison aliwafunga Simba kwenye mchezo wa...