MBELGIJI WA SIMBA HESABU ZAKE ZIPO NAMNA HII

0
SVEN Vandenbroeck, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa bado kuna mambo hayajakamilika ndani ya Simba kutokana na malengo waliyojiwekea hivyo iwapo Ligi Kuu Bara...

KOCHA MANCHESTER UNITED AWATAKA WACHEZAJI KUWATUMIA WAKE ZAO KUFANYA MAZOEZI

0
OLE Gunnar Solskajer, Kocha Mkuu wa Manchester United amewataka wachezaji kutumia muda huu wa mapumziko kupata ushauri kutoka kwa wapenzi wao, wake zao ili kupata...

ABDI BANDA: TUNAPIGA MATIZI KAMA KAWAIDA

0
ABDI Banda nyota wa Tanzania anayekipiga ndani ya Klabu ya Highlands Park inayoshiriki Ligi Kuu Afrika Kusini amesema kuwa wanapiga matizi kama kawaida ili...

NIYONZIMA AGOMEA KUSTAAFU KUCHEZA SOKA

0
HARUNA Niyonzima, kiungo mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa kwa sasa hana mpango wa kustaafu kucheza mpira kutokana na uwezo wake alionao ndani ya uwanja.Niyonzima...

MUONEKANO WA UKURASA WA NYUMA GAZETI LA CHAMPIONI IJUMAA

0
MUONEKANO wa UKURASA wa nyuma Gazeti la CHAMPIONI IJUMAA

KWA KOLABO TU, JIDE NI HABARI NYINGINE

0
UNAPOZUNGUMZIA wasanii waliofanya kolabo nyingi ndani na nje ya Bongo, huwezi kuliweka pembeni jina la Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ au ukipenda unaweza kumuita Jide.Mwanamke...

BERNARD MORRISON: SIMBA WALIKUWA NA HAKI YA KUNIFUATA

0
BERNARD Morrison, kiungo mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa Simba walikuwa wana uhuru wa kuzungumza naye ili kumpa dili kwa kuwa yeye ni mchezaji mzuri...

HAWA HAPA MASTAA WATANO WENYE MKWANJA MREFU AFRIKA

0
MUZIKI kama zilivyo biashara nyingine, unalipa. Kwa hapa Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond’ ndiye anayetajwa kuwa na utajiri mkubwa japo vyanzo mbalimbali vinaeleza kuwa wapo wasanii wenye...

NYOTA HUYU WA MARSEILLE NI BALAA KWA MIPASI YA MWISHO

0
DIMITRI Payet, staa anayekipiga ndani ya Klabu ya Marseille ni balaa kwenye kutengeneza pasi za mwisho. Tangu msimu wa 2007/08 Payet amekuwa noma ndani ya...

LIGI KUU BARA 2019/20 HATARINI KUFUTWA NI NDANI YA GAZETI LA CHAMPIONI IJUMAA

0
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la CHAMPIONI Ijumaa, nafasi ya kushinda ndinga ni yako sasa