MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATANO, NAFASI YA KUSHINDA NDINGA NI...

0
MUONEKANO wa UKURASA wa mbele GAZETI la CHAMPIONI Jumatano, lipo mtaani nafasi ya kujishindia ndinga mpya ni yako

KOCHA COASTAL UNION AWAPA KAZI YA KUFANYA WACHEZAJI WAKE

0
JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Coastal Union amesema kuwa wachezaji wake ni lazima wafanya mazoezi ili kulinda uwezo wao walionao kwenye soka.Kwa sasa Ligi...

LUSAJO AJIPA MUDA WA WIKI MOJA KABLA YA KUANZA KUJINOA

0
NYOTA wa timu ya Namungo, Reliants Lusajo amesema kuwa kwa sasa amejipa muda wa wiki moja kupumzika kabla ya kuanza mazoezi ya kulinda kipaji...

SIMBA YAIPOTEZA MAZIMA YANGA

0
SAFU ya ushambuliaji ya Simba iliyo chini ya Meddie Kagere imevunja rekodi ya mabao yaliyofungwa na Yanga msimu uliopita 2018/19.Yanga ilimaliza Ligi ikiwa imefunga...

HIMID MAO: VIWANJA VYA NDEGE VIMEFUNGWA KWA SASA HAKUNA RUHUSA YA KUTOKA

0
HIMID Mao, anayekipiga ndani ya ENPPI ya Misri amesema kuwa kutokana na Virusi vya Corona wamejifungia ndani na hakuna ruhusa ya kuondoka ndani ya...

CHAMA AKINUKISHA NDANI YA SIMBA, YUPO ZAKE ZAMBIA KWA SASA

0
IMEELEZWA kuwa nyota wa Simba, Clatous Chama amegoma kuongeza kandarasi ndani ya klabu yake hiyo kwa ajili ya kuendelea kuitumikia timu hiyo.Uongozi wa Simba...

JOSE MOURINHO ATOA SAPOTI KWA WAZEE WALIOPO KARANTINI

0
JOSE Mourinho, Kocha Mkuu wa Tottenham ametoa msaada wa chakula kwa wazee wa kituo cha Your Door Step kilichopo Enfield.Kocha huyo wa Tottenham aliwatembelea...

WAKALI WA KUTUPIA MABAO 11 WOTE NI WAZAWA, WAWILI WANA KITAMBAA CHA UNAHODHA

0
KWA wachezaji walio kwenye mwendo wa kutupia mabao 11 ni watatu na wote ni wazawa ambapo wawili kwenye timu zao ni manahodha.Paul Nonga anakipiga...

ASTON VILLA INA KAZI YA KUFANYA LIGI KUU ENGLAND ITAKAPOREJEA

0
ASTON Villa, klabu anayokipiga Mbwana Samatta nahodha wa Tanzania ndani ya Ligi Kuu England imejikusanyia pointi 25 baada ya kucheza mechi 28.Villa imefunga jumla...

WACHEZAJI WA MTIBWA SUGAR WAPEWA KAZI YA KUWA MABALOZI

0
UONGOZI wa Mtibwa Sugar umewataka wachezaji wao kuwa mabalozi wazuri kipindi hiki cha mapumziko maaalumu kwa ajili ya kupisha maambukizi ya Virusi vya Corona.Ligi...