SIMBA SASA WAANZA KUMVUTIA KASI NYOTA ANAYEKIPIGA MALAYSIA

0
KIPRE Tchetche, nyota wa zamani wa Azam FC anayekipiga Klabu ya Kedah inayoshiriki Ligi Kuu ya Malaysia amewekwa kwenye rada za Simba ilikuongeza nguvu...

WATATU WAGUNDULIKA NA CORONA NDANI YA JUVENTUS, HALI BADO HAIJAWA SHWARI

0
MSHAMBULIAJI wa Juventus, Paulo Dybala anakuwa mchezaji wa tatu kugundulika na Virusi vya Corona ndani ya timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu ya Italia, Serie...

YANGA YAINGIA ANGA ZA MZAWA HUYU KUWA MBADALA WA UBUTU WA SAFU YA USHAMBULIAJI

0
IMEELEZWA kuwa mshambuliaji mzawa namba moja ndani ya Namungo FC, Reliants Lusajo amewekwa kwenye rada na mabosi wa Yanga ili kuinasa saini yake kwa...

KOCHA MTIBWA SUGAR: TAHADHARI YA CORONA NI LAZIMA IFUATWE NA WATU WOTE

0
KOCHA Mkuu wa timu ya Mtibwa Sugar, Zuber Katwila amesema kuwa ni lazima kila mmoja achukue tahadhari ya kujikinga na Virusi vya Corona ambavyo...

MKUDE ATOA TAMKO KUHUSU HATMA YAKE NDANI YA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA

0
JONAS Mkude, kiungo mkabaji ndani ya Simba amesema kuwa bado ataendelea kulitumikia Taifa lake la Tanzania iwapo atapewa nafasi ndani ya timu ya Taifa...

MBELGIJI WA YANGA ATUMIA DAKIKA 1,350 KUSAKA POINTI 26, MECHI MBILI ZA MWANZO ILIKUWA...

0
LUC Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga amekiongoza kikosi chake kwenye mechi 15 za Ligi Kuu Bara sawa na dakika 1,350 baada ya kupokea mikoba...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATATU

0
MUONEKANO wa UKURASA wa mbele GAZETI la CHAMPIONI Jumatatu, nafasi ya kushinda ndiga ni yako

TAMBWE, NYOTA ALIYEWIKA YANGA ATAMANI KUREJEA TENA KUKINUKISHA

0
 AMISSI Tambwe mshambuliaji wa zamani wa Yanga, amesema kuwa bado ana uwezo mkubwa wa kufunga mabao, hivyo uongozi wa Yanga umpe dili ili asiani...

BALAA LA MZAMBIA ANAYEWINDWA NA SIMBA ACHA KABISA, DAU LAKE NOMA

0
JUSTIN Shonga ni raia wa Zambia anayekipiga ndani ya Klabu ya Orlando Pirates ya Afrika Kusini.Amezaliwa Novemba 5,1996 ana umri wa miaka 23 kwa...

MCHEZO MZIMA WA UBINGWA LIGI KUU BARA UNAISHA NAMNA HII, MAMBO YAKIJIPA BINGWA ATATANGAZIWA...

0
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba wana nafasi kubwa ya kutetea ubingwa wao msimu huu kutokana na kuwa vinara wakiwa na pointi 71...