VIDEO: YANGA WATENGEWA MIL 200 KUWAFUNGA SIMBA TAR 08, NUGAZ AFUNGUKA WALIVYOJIPANGA..

0
UONGOZI wa Yanga na mdhamini GSM wamehaidi kutoa Sh 200milioni kwa wachezaji wa Yanga iwapo watashinda mechi yao dhidi ya Simba Jumapili kwenye Uwanja...

LIVERPOOL: WATFORD WALITUVURUGA KINOMA

0
JURGEN Klopp, Kocha Mkuu wa Liverpool amesema kuwa kichapo cha mabao 3-0 walichokipata kwenye mchezo wa Ligi Kuu Englad kimewavuruga.Liverpool imetolewa na Chelsea kwenye...

YANGA:TUNAWATAMBUA AKINA MKUDE, CHAMA, HATUNA PRESHA

0
PAPY Tshishimbi, nahodha wa Yanga amesema kuwa wanatambua aina ya wachezaji wa Simba watakaokutana nao Machi 8, Uwanja wa Taifa hawana presha nao watapambana...

SIMBA YAFICHUA KINACHOWAPA NGUVU YA KUPAMBANA NDANI YA UWANJA

0
PASCAL Wawa, beki wa Simba amesema kuwa kinachowafanya waendelee kupata matokeo ndani ya Uwanja ni ushirikiano pamoja na mtazamo wa kutazama mambo yanayofuata.Simba ikiwa...

SINGIDA UNITED YACHAPWA TENA, MAMBO BADO MAGUMU

0
SINGIDA United iliyo chini ya Ramadhan Nswazurimo imeendelea kupoteza mechi zake za Ligi Kuu Bara ambapo jana Machi 4, ilichapwa bao 1-0 na Coastal Union.Mchezo...

KAGERA SUGAR: HATUJAKATA TAMAA KUPOTEZA MBELE YA MBEYA CITY

0
UONGOZI wa Kagera Sugar umesema kuwa kushindwa kufurukuta mbele ya Mbeya City ni sehemu ya mchezo watajipanga kwa ajili ya mechi zinazofuata.Kagera Sugar, jana...

YANGA YASHUSHA PRESHA KISA SIMBA, SASA KAZI ITAKUWA NAMNA HII

0
KOCHA Mkuu wa Yanga, Luc Eymael amesema kuwa siku zilizobaki zinatosha kukiandaa kikosi chake kwa ajili ya mchezo wa Machi 8 dhidi ya Simba...

SIMBA YATAJA SABABU YA KIWANGO CHAO JANA KUPANDA NA KUSHUKA MBELE YA AZAM FC

0
FRANCIS Kahata, kiungo mshambuliji wa Simba anayefanya kazi kwa ukaribu na kiungo Jonas Mkude amesema kuwa walicheza kwa kupanda na kushuka kutokana na mpira...

MPANGO MKUBWA WA MTIBWA SUGAR UPO NAMNA HII

0
UONGOZI wa Mtibwa Sugar umesema kwa sasa mipango yao ni kuona inamaliza ligi ikiwa ndani ya 10 bora.Ofisa Habari wa Mtibwa Sugar, Thobias Kifaru...

AZAM FC YATAJA KILICHOWAKWAMISHA TAIFA JUMLA MBELE YA SIMBA

0
AGREY Moriss, nahodha wa Azam FC amesema kuwa walishindwa kupata ushindi mbele ya Simba jana Uwanja wa Taifa kutokana na makosa yao wenyewe.Kwenye mchezo...