HIVI HAPA VIGONGO VYA MOTO KWA SIMBA KABLA YA KUKUTANA NA YANGA
SIMBA ambao ni vinara wa Ligi Kuu Bara, Februari 25 wana kazi ya kumenyana na Stand United kwenye Uwanja wa CCM Kambarage.ndani ya mwezi...
MSIMAMO WA LIGI KUU BARA
MSIMAMO wa Ligi Kuu Bara Huu hapa baada ya mechi kuchezwa jana, leo pia ligi inaendelea
MTIBWAR SUGAR YAKOMAA NA MATATIZO YAO WENYEWE, KICHAPO MBELE YA MBEYA CITY CHAIBUA HAYA
ZUBER Katwila, Kocha Mkuu wa Mtibwa Sugar, amesema kuwa walipambana kwa kiasi kikubwa kutafuta ushindi mbele ya Mbeya City bahati haikuwa yao.Mtibwa Sugar ilifungwa...
AZAM FC: KICHAPO CHETU MBELE YA NAMUNGO HATUNA WA KUMLAUMU
AGREY Morris, nahodha wa Azam FC amesema kuwa kichapo walichopokea mbele ya Namungo FC ni makosa yao wenyewe hakuna wa kumlaumu.Jana Azam ilipoteza mbele...
TAMBO ZA MASAU BWIRE ZAJIBIWA KWA VITENDO NA POLISI TANZANIA
TIMU ya Polisi Tanzania jana imemjibu Ofisa Habari wa Ruvu Shooting kwa vitendo baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-1.Bwire alisema kuwa hesabu...
KMC YAZIACHA POINTI SITA JUMLA NYANDA ZA JUU KUSINI
TIMU ya KMC imeacha pointi sita jumla ugenini kwenye mechi zake mbili ilizokuwa ikicheza nyanda za juu Kusini.KMC ilianza kupoteza mbele ya Namungo FC...
SIMBA BAADA YA KUMALIZIANA NA BIASHARA SASA HAO KWA STAND UNITED
BAADA ya ushindi wa jana mbele ya Biashara United kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara walioupata Simba, leo kikosi kimeanza safari kuelekea Mwanza.Simba jana...
NYOTA HAWA WA KIGENI WATANO TU UHAKIKA KIKOSI CHA KWANZA YANGA
PAPY Tshishimbi nahodha wa Yanga amepewa jukumu la kuwaongoza wachezaji wenzake wageni pamoja na kikosi cha Yanga kwenye mechi zote za mikoani ambazo timu...
TWIGA STARS YASHIKA NAFASI YA TATU MASHINDANO YA UNAF
TIMU ya Taifa ya Wanawake Twiga Stars imekamata nafasi ya pili kwenye michuano ya Mataifa ya Afrika Kaskazini (UNAF) yaliyokamilika jana nchini Tunisia. Mabingwa wa...
KIUNGO LUIS ACHEKELEA KUTUPIA NDANI YA SIMBA, AHADI YAKE HII HAPA
KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Luis Miquissone amesema kuwa anafurahi kufunga bao lake la kwanza ndani ya Simba na malengo yake ni kuisiaidia timu yake...