KOCHA YANGA AANZA NA SIMBA, HILI NDIYO TAMKO LAKE

0
Siku chache baada ya Mbelgiji, Luc Eymael kutua nchini kuja kuinoa Yanga, ametamba kwamba anataka sana kukutana na wapinzani wao wa jadi Simba kutokana...

WINGA MZAMBIA MAMBO SAFI YANGA

0
Achana na uwezo mkubwa aliouonyesha starika Muivory Coast, Yikpe Gnaimen, unaambiwa yupo winga Mzambia, Eric Kabamba, huyu ni hatari na tayari benchi la ufundi...

MAXIME ASHANGAZWA NA MOHAMMED BANKA

0
Kiwango cha juu cha kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mohammed Issa ‘Banka’ ambacho hivi karibuni alikionyesha katika mchezo dhidi ya Simba, kimeonekana kumtisha Kocha Mkuu...

WINGA SIMBA ATUA YANGA KWA MILIONI 30

0
WINGA wa zamani wa Simba, Shiza Kichuya, amekubali kusaini mkataba wa kukipiga Yanga katika usajili wa dirisha dogo msimu huu wa Ligi Kuu Bara.Kichuya...

SAA 168 ZATENGWA YANGA, HII NDIYO MIKAKATI YAKE CHINI YA MBELGIJI

0
KOCHA mpya wa Yanga, Luc Eymael, raia wa Ubelgiji, amefunguka kuwa ametenga wiki moja, sawa na saa 168 kwa ajili ya kukitazama kikosi chake...

MANARA AZIDI KUUMIWA NA MTIBWA SUGAR, AFUNGUKA MENGINE MAZITO KUHUSIANA NA SIMBA

0
Wanasimba wenzangu!!Najua maumivu mliyopitia jana na nnafahamu karaha mnazopata toka kwa watani zetu, lakini niwaambie kitu kimoja, hili kwetu ni funzo, ni funzo kwa...

ALIYEELEZWA KUHITAJIKA YANGA APIGWA CHINI KENYA

0
KOCHA wa Bandari FC inayoshiriki Ligi Kuu ya Kenya, Bernard Mwalala ameondoka katika klabu hiyo baada ya matokeo mabaya kufuatia kipigo cha mabao 2-1...

ROONEY ATOKA KIFUNGONI

0
WAYNE Rooney juzi alionekana akiendesha gari kwa mara ya kwanza baada ya kupita miaka miwili, kwa kuwa alikuwa amefungiwa kuendesha.Rooney ambaye sasa ni kocha...

WINGA SIMBA ATUA YANGA KWA MILIONI 30

0
WINGA wa zamani wa Simba, Shiza Kichuya, amekubali kusaini mkataba wa kukipiga Yanga katika usajili wa dirisha dogo msimu huu wa Ligi Kuu Bara.Kichuya...

KUMBE! SARE YA KUFUNGANA MABAO 2-2 INAWAUMIZA YANGA, MILIONI 150 ZILIZOYEYUKA ZINAWAUMA KINOMA

0
IMEELEZWA kuwa sare ya mabao 2-2 waliyoipata Yanga inawaumiza kutokana na kupoteza mkwanja mrefu ambao ulikuwa mezani.Januari 4,2020 Yanga ilikaribishwa na Simba kwenye mchezo...