MZAMBIA MAMBO SAFI YANGA, GAZETI LA SPOTI XTRA KATIKA UKURASA WA MBELE LEO JUMAPILI

0
Muonekano wa gazeti la Spoti Xtra katika ukurasa wa mbele leo Jumapili.

KISA PENATI YA SIMBA, BODI YA LIGI YATANGAZA HATUA ITAKAZOCHUKUA KWA MWAMUZI RUKIYAA

0
MWAMUZI aliyechezesha mechi ya watani wa jadi, Jonesia Rukya na beki wa Simba, Pascal Wawa wanatarajiwa kujadiliwa katika Kamati ya Saa 72 ya Shirikisho...

HUKO SINGIDA UNITED KUMETIBUKA KINOMANOMA, VIONGOZI WAEWA SIKU 7

0
IMEELEZWA kuwa Uongozi wa Singida United kwa sasa unahaha kuwalipa madeni wachezaji wake ili kurudisha morali iliyokuwa imepotea ndani ya timu.Singida United ambayo imefanya...

IMEBAINIKA!! HIKI NDICHO KILICHOSABABISHA YANGA IONDOLEWE KOMBE LA MAPINDUZI

0
KITENDO cha kuamini imemaliza mchezo na wachezaji wa Mtibwa Sugar kufuata maelekezo vema, ndicho kilichoisaidia kupata bao la 'usiku' la kusawazisha na hatimaye kushinda...

ALIYEWAHI KUKIPIGA JANGWANI AWACHANA WACHEZAJI YANGA

0
NYOTA wa zamani wa Yanga, Bakari Malima ‘Jembe Ulaya’ amesema baadhi ya wachezaji walicheza chini ya kiwango na kusababisha timu hiyo kung’olewa kwenye hatua...

UONGOZI YANGA WATOA TAMKO JUU YA UJIO WA JAMES KOTEI

0
Uongozi wa klabu ya Yanga umesema hauwezi kuelezea zaidi suala la James Kotei ambaye anatajwa kurejea Tanzania.Taarifa zimekuwa zikisema kuwa Kotei anaweza akarejea Tanzania...

BOSI SIMBA AFUNGUKA JUU YA KUACHANA NA NYOTA TEGEMEO

0
Uongozi wa klabu ya Simba umesema haujaachana na wachezaji wake Aishi Manula pamoja na Erasto Nyoni.Kwa mujibu wa CEO mpya wa Simba, Senzo Mazingisa,...

YANGA YAZIDI KUNG’ARA KIMATAIFA, YAINGIA DILI NONO NA KAZIER CHIEFS

0
MABINGWA wa kihistoria Tanzania, Yanga wameanzisha ushirikiano na klabu kubwa ya Kaizer Chiefs, vinara wa Ligi Kuu ya Afrika Kusini.Hiyo ikiwa ni miezi michache...

MWILI WA MKE WA NAHODHA WA AZAM FC, AGREY MORIS KUPUMZISHWA JANUARI, 13,2020

0
KIKOSI cha Azam FC,leo kilienda nyumbani kwa nahodha wa timu hiyo, Agrey Moris kumfariji baada ya kupata msiba wa kufiwa na mke wake Asteria.Maziko...

MANCHESTER UNITED YATEMBEZA 4G, RASHFORD AKIWASHA

0
MANCHESTER United leo imewashushia kichapo timu ya Norwich City kwenye mchezo wa Ligi Kuu England uliochezwa uwanja wa Old Trafford kwa kuichapa mabao 4-0.Mabao...