MTIBWA SUGAR:: VIWANJA NI TATIZO,VIBORESHWE
KOCHA Mkuu wa Mtibwa Sugar, Zuber Katwila amesema kuwa kuna umuhimu wa sehemu za kuchezea kuboreshwa ili timu zicheze kwa kujiamini zikiwa ndani ya...
BOCCO:TUTAPAMBANA MBELE YA BIASHARA UNITED
NAHODHA wa Simba, John Bocco amesema kuwa kesho watambana mbele ya Biashara United ili kupata pointi tatu muhimu.Simba itaikaribisha Biashara United, Februari 22, Uwanja...
ANTONIO CONTE AMPA MANENO YAKE ERIKSEN
ANTONIO Conte, Kocha Mkuu wa Inter Milan amesema kuwa nyota wake mpya, Christian Eriksen anahitaji muda ili kuzidi kuwa bora ndani ya kikosi hicho.Eriksen...
WACHEZAJI YANGA WARUDISHA ZIGO LA SARE KWA UONGOZI WAO
PAPY Tshishimbi, nahodha wa Yanga amesema kuwa matokeo yao ya sare wanayopata uongozi utafanyia kazi makosa yao.Februari 23 Uwanja wa Mkwakwani, Tanga, Yanga itamenyana...
JEMBE LA KAZI SASA LAANZA MAZOEZI NDANI YA SIMBA
MZAMIRU Yassin, kiungo wa Simba ameanza mazoezi ili kurejea uwanjani kutokana na majeraha aliyoyapata kwenye mechi dhidi ya Yanga.Mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Taifa,...
BIASHARA UNITED WAIPIGIA HESABU HIZI SAFU YA USHAMBULIAJI YA SIMBA KESHO TAIFA
OMARY Madenge, Kocha Msaidizi wa Biashara United amesema kuwa mpango mkubwa kwa timu yake ni kupambana mbele ya Simba na kupata pointi tatu bila...
COASTAL UNION YATUMA UJUMBE HUU KWA YANGA
BAKARI Mwamnyeto, nahodha wa Coastal Union amesema kuwa watapambana mbele ya Yanga kupata matokeo chanya kwenye mchezo wa kesho utakaopigwa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.Coastal...
ISHU YA WACHEZAJI YANGA KUTOLIPWA MKWANJA WAO YAFIKIA HAPA
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa unawalipa wachezaji wao mshahara wao kwa wakati pamoja na wafanyakazi wengine hakuna ambaye anwadai.Taarifa ambayo imetolewa na Yanga imeeleza...
HESABU KUBWA ZA SIMBA MSIMU HUU HIZI HAPA
JONAS Mkude, kiungo ndani ya Simba amesema kuwa akili zao kwa sasa ni kuona namna gani wanaweza kutetea taji lao la ubingwa walilotwaa msimu...
MWADUI WANA BALAA KINOMA KWA SARE HAWAJAMBO, CHEKI WALICHOFANYA
TIMU ya Mwadui FC ya Shinyanga kwa kulazimisha sare nayo ni balaa ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2019/20.Msimu huu namba moja kwa...