SINGIDA UNITED YAGOMEA KUSHUKA DARAJA

0
UONGOZI wa Singida United umesema kuwa utapambana msimu huu kubaki ndani ya ligi kutokana na usajili walioufanya.Singida United haijawa na msimu mzuri kutokana na...

KIKOSI CHA SIMBA KILICHOANZA DHIDI A MBAO FC LEO UWANJA WA CCM KIRUMBA

0
HIKI ndicho kikosi cha Simba leo kilichoanza dhidi ya Mbao FC, Uwanja wa CCM Kirumba, Januari 16

ALIYEMTUNGUA MANULA NDANI YA MBAO ANA JAMBO LAKE JINGINE TENA

0
SAID Khamis Jr mshambuliaji wa Mbao FC leo ana kazi kubwa ya kuendeleza ubabe wake aliouanza msimu wa mwaka 2018/19 uwanja wa CCM Kirumba...

ISHU YA KICHUYA KUREJEA YAACHA MASWALI HAYA MATANO KWA JEMBE, HEBU TUSAIDIANE KUMJIBU

0
KUTOKANA na timu ya Simba iliyo chini ya Kocha Mkuu, Sven Vanderbroeck kumrejesha ndani ya kikosi hicho mchezaji wao wa zamani, Shiza Kichuya, Saleh...

HIKI NDICHO KINACHOIMALIZA KMC KUSHINDWA KUPATA MATOKEO CHANYA, DAWA YAKE YAPATIKANA

0
 HARUNA Harerimana, Kocha Mkuu wa KMC amesema kuwa kazi kubwa aliyonayo kwa sasa ni kusuka upya kikosi kitakachowavuruga Mtibwa Sugarambao ni mabingwa wa kombe...

MBELGIJI WA YANGA AWAVAA WACHEZAJI WAKE KISA KICHAPO CHA MABAO 3-0 MBELE YA KAGERA...

0
LUC Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa wachezaji wake walipoteza nafasi nyingi za wazi jambo lililowafanya wakakubali kichapo cha mabao 3-0 mbele ya...

AZAM FC YAJIONGEZEA NGUVU ZA KUIFUATA YANGA

0
IDD Cheche, Kocha Msaidizi wa Azam FC amesema kuwa ushindi waliopata mbele ya Lipuli ni nguvu kwao kuelekea kwenye mchezo wao dhidi ya Yanga...

SVEN WA SIMBA KWENYE MTIHANI MWINGINE LEO MBELE YA MBAO FC,

0
SVEN Vanderbroek, Kocha Mkuu wa Simba leo ana kazi mbele ya Mbao FC kwenye mchezo utakaochezwa Uwanja wa CCM Kirumba.Sven anaingia kibaruani akiwa na...

KAZI IMEISHA SASA TUKUTANE UWANJANI, MUONEKANO WA GAZETI LA SPOTIXTRA, ALHAMISI

0
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la SPOTIXTRA Alhamisi, leo Januari 16, lipo mezani

MATA AWAONGEZEA KASI MANCHESTER UNITED KUELEKEA MCHEZO WAO DHIDI YA LIVERPOOL

0
JUAN Mata aliwaamsha mashabiki wa Manchester United dakika ya 67 kwa kufunga bao pekee la ushindi mbele ya Wolves kwenye mchezo wa FA raundi...