KASI YA NYOTA MPYA WA SIMBA YAMKOSHA MBELGIJI WA SIMBA, ALICHOKIFANYA DAKIKA 12 NI...
DAKIKA 12 za kiungo mpya wa Simba, Luis Miqoissone akitokea benchi kuchukua nafasi ya Hassan Dilunga zimemkosha Kocha Mkuu wa Simba, Sven Vanderbroeck ambaye alibaki...
JEMBE JIPYA LA AZAM FC KUIKOSA SIMBA LEO MAPINDUZI CUP
KHLEFFIN Hamdoun, jembe jipya ndani ya Azam FC aliyesajiliwa kwa kadarasi ya miaka minne leo ataikosa mechi ya nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi...
ISHU YA YANGA KUIKIMBIA SIMBA KIJANJA MAPINDUZI CUP IPO HIVI
KUTOKANA na mashabiki wa Yanga kukasirika kitendo cha Yanga kupoteza mchezo wao wa nusu fainali kwenye Kombe la Mapinduzi dhidi ya Mtibwa Sugar huku...
NAHODHA SIMBA: TUNAWATAMBUA AZAM FC TUTAWAPA TAABU LEO
NAHODHA wa Simba, John Bocco amesema kuwa hana mashaka na mchezo wa leo mbele ya Azam FC utakaochezwa Uwanja wa Amaan.Simba itamenyana na Azam...
NAHODHA WA BARCELONA AWA MKALI KINOMA, AKASIRISHWA NA ZAWADI YA KICHAPO MBELE YA ATLETICO...
Kichapo cha mabao 3-2 walichokipata Barcelona jana dhidi ya Atletico Madrid kimemkasirisha nahodha wa kikosi hicho, Lionel Messi.Kwenye mchezo huo wa nusu fainali ya...
MWANADADA OLIVA SHIRIMA AFANYA YAKE SPORTPESA AKIBEBA SH MILIONI 5.3
Mshindi wa bonasi wiki hii ya Jackpot ya SportPesa Bi. Oliva Andrea Shirima kulia akikabidhiwa mfano wa hundi ya shilingi mil 5,334,294/= na Mwenyekiti wa...
HAWA HAPA USO KWA USO KWENYE KOMBE LA FA, SIMBA V MWADUI, YANGA V...
LEO, Januari 10, droo ya hatua ya 32 ya michuano ya Kombe la Shirikisho imechezeshwa na timu zilizotinga hatua hiyo zimemtambua mpinzani wake.Kombe la...
YANGA WAONYESHENI GSM, WANASTAHILI KUBAKI JANGWANI
NA SALEH ALLYMHIMILI wa mwendo wa Yanga kwa kipindi hiki ni wadhamini wao, ukianzia na Sportpesa ambao ni wadhamini wakuu halafu GSM, kampuni inayouza...
TWENDENI TAIFA TUKAWAPIGE PAMOJA BURUNDI TWENDE KOMBE LA DUNIA
NA SALEH ALLYUTAIFA hauwezi kuwa nyimbo za mdomoni pekee, badala yake vitendo vinavyothibitisha nia na hamu ya utaifa wa mtu.Moja ya nguzo ya utaifa...
KAPTULA YA ZAHERA HAIWEZI KUWA ISHU, TWENDENI NA MAMBO YA MSINGI
NA SALEH ALLYKILA mmoja anaweza kuamua kusikiliza hadithi anayoamini inaweza kumfurahisha lakini wakati mwingine unalazimika kusikiliza ile usiyoipenda ili kujua jambo.Hadithi inayovutia masikio ni...