HIVI NDIVYO MKAZI WA MBEYA ALIVYOSHINDA ZAIDI YA MILIONI 125 ZA PREMIER BET

0
KAMPUNI ya Michezo ya Kubashiri ya Premier Bet Tanzania imemtangaza mkamalia mmoja mjanja ambaye ameshinda zaidi ya milioni 125 kwenye mkeka wake wikiendi hii. Mteja...

KOBE BYRANT AZIKWA KWA SIRI

0
VYOMBO mbalimbali vya habari nchini Marekani vimethibitisha kuwa Mchezaji maarufu wa Mpira wa Kikapu, Kobe Byrant (41) na mwanaye, Gianna Maria-Onore Bryant ‘Gigi’ (13)...

JOHN BOCCO BALAA LAKE MBELE YA MTIBWA LILIKUWA NAMNA HII

0
JOHN Bocco nahodha wa timu ya Simba jana amekiongoza kikosi chake kulipa kisasi cha kuchapwa bao 1-0 mbele ya Mtibwa Sugar kwenye mchezo wa...

KINACHOIBEBA AZAM FC HIKI HAPA NDANI YA LIGI KUU BARA

0
IDD Cheche, Kocha Msaidizi wa Azam FC amesema kuwa kikubwa kinachowapa ushindi ni wachezaji kujituma ndani ya uwanja na ushirikiano wao.Azam FC jana ilishinda...

HIVI NDIVYO YANGA ILIPOKUBALI KULAZIMISHA SARE YA KUFUNGANA BAO 1-1 NA MBEYA CITY

0
BERNARD Morrison, mshambuliaji wa Yanga, jana ameonyesha ushujaa wake mbele ya Mbeya City kwa kufunga bao kwenye sare ya kufungana bao 1-1 mchezo wa...

DILUNGA AWAOMBA RADHI MABOSI WAKE WA ZAMANI MTIBWA BAADA YA KUWATUNGUA

0
HASSAN Dilunga, kiungo wa Simba ambaye alijiunga na Simba akitokea Mtibwa Sugar amesema kuwa anaomba radhi kwa mashabiki wake kwa kuwafunga moja bao kwenye...

MTIBWA SUGAR YAELEZA KILICHOWAPONZA MBELE YA SIMBA

0
ZUBERI Katwila, Kocha Mkuu wa Mtibwa Sugar amesema kuwa kilichoiponza timu yake kupoteza kwa kufungwa mabao 3-0 mbele ya Simba ni kushindwa kuwazuia wapinzani...

AMBULACE YAZUA KIZAAZAA LIGI KUU BARA

0
MCHEZO wa Ligi Kuu Bara kati ya Ruvu Shooting na Tanzania Prisons ambao ulipaswa uchezwe jana, Februari 11,2020 Uwanja wa Mabatini uliahirishwa na unasubiria...

MZUNGU WA SIMBA AFICHUA SIRI YA MABAO 3-0, WACHEZAJI WATAJWA

0
SVEN Vandenbroeck, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa kilichoibeba Simba jana, Februari 11, mbele ya Mtibwa Sugar ni kujituma kwa wachezaji wake.Simba jana ilishinda...

NAHODHA WA MBWANA SAMATTA BADO ANAMPASUA KICHWA SOLSJKAJER

0
OLE Gunnar Solskajer, Kocha Mkuu wa Manchester United inaripotiwa kuwa yupo siriazi kuipata saini ya nyota wa Aston Villa, Jack Grealish ili kuongeza makali...