MAN UNITED YAPANGWA NA VIBONDE EUROPA LEAGUE, DROO NZIMA HII HAPA
Droo ya makundi katika Europa League hii hapa
KABENDERA ASHINDWA KUPUMUA, WAKILI AIANGUKIA MAHAKAMA
Upande wa utetezi katika kesi ya Uhujumu Uchumi inayomkabili mwandishi wa habari za uchunguzi Erick Kabendera umeiomba mahakama kuliamurau Jeshi la Magereza kumpeleka mshtakiwa...
SIRI NZITO KUTOKA ZESCO UNITED ZAWEKWA HADHARANI, NI FAIDA KWA YANGA
Kocha Msaidizi wa Yanga, Noel Mwandila amewaambia mashabiki wa kikosi hicho wasiwe na presha watakapokutana na Zesco United kutokana na kumfahamu vizuri kocha wao,...
KAGERE AFANANISHWA NA CRISTIANO RONALDO, HAWANA TOFAUTI KABISA, KIGOGO SIMBA AFUNGUKA
Mwanachama na kiongozi wa zamani wa Simba, Ismail Aden Rage, amesema kuwa haoni tofauti baina, Cristiano Ronaldo.Rage ameeleza hayo kutokana na Kagere kuanza mechi...
MCHEZAJI SIMBA AELEKEA MOROCCO
Mshambuliaji wa zamani wa Simba SC na Napsa Stars ya Zambia, Laudit Mavugo amejiunga na klabu ya Difaa El Jadida ya Morocco anayocheza Mshambuliaji...
MWAMUZI HUYU NA TABIA ZAKE, ANANIPA HOFU YA LIGI KUU BARA ITAKAVYOKWENDA
MKURUGENZI TPLB, BONIFACE WAMBURANA SALEH ALLYNIKO katika Kundi la Mtandao wa Whatsapp ambalo linajumuisha wadau wengi sana wa mchezo wa soka.Wadau kwa maana ya...
RUBY AFUNGUKA KUACHANA NA MZAZI MWENZAKE
Kuachwa au kuacha kusikie kwa wengine, usiombe yakukute! Hayo ni maneno ya mwanamuziki wa kike wa Bongo Fleva, Hellen George ‘Ruby’ ambaye juzikati zilisambaa...
STRAIKA MAN UNITED ATUA INTER MILAN
Hatimaye Alexis Sanchez ametua jijini Milan kukamilisha dili la kujiunga na Inter Milan kwa mkopo akitokea Manchester United.Sanchez ametua jijini hapo baada ya kudumu...
HABARI NJEMA!! DUDUBAYA AOKOKA, AFANYIWA MAOMBI YA KUFA MTU
Msanii nguli wa Bongo Fleva, Godfrey Tumaini, maarufu kama Dudubaya ama Konki Master, ameamua kuokoka na kumrudia Mungu, jambo ambalo liimewaacha mdomo wazi watu...
MANE, SALAH KUCHEZA NA SAMATTA
Mshambuliaji Mtanzania, Mbwana Samatta anayechezea Genk atakuwa na nafasi ya kucheza dhidi ya Liverpool ya England katika Hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa...