LUKAKU BANA AIPIGA DONGO TIMU YAKE YA ZAMANI MANCHESTER UNITED
ROMELU Lukaku, mshambuliaji mpya wa kikosi cha Inter Milan ametupa dongo kimtindo kwa timu yake ya zamani ya Manchester United alipokuwa akitoa mlinganisho wa...
POLISI TANZANIA YACHEKELEA KUINYOOSHA YANGA
DITRAM Nchimbi, mchezaji wa Polisi Tanzania amesema kuwa ushindi wao mbele ya Yanga ni mwanzo mzuri kwa kikosi hicho kuelekea kwenye msimu mpya unaotarajiwa...
KOCHA YANGA ATAJA SABABU YA KICHAPO CHA MABAO 2-0 MBELE YA POLISI TANZANIA
MWINYI Zahera, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa sababu kubwa ya kupoteza mchezo wake mbele ya Polisi Tanzania ni kukosa umakini kwa wachezaji wake...
NAMUNGO WATAJA KILICHOWAPONZA KUPOKEA KICHAPO CHA MABAO 8-1 MBLE YA AZAM FC
HITIMANA Thiery, Kocha Mkuu wa Namungo FC amesema kuwa kilichoiponza timu yake kupokea kichapo kibaya cha mabao 8-1 ni kukosa uzoefu pamoja na muunganiko...
BABA: HAKUNA STRAIKA WA KUMPITA YONDANI
BABA mzazi wa beki wa Yanga, Kelvin Yondani, mzee Patrick Yondani amefunguka kuwa kuelekea msimu mpya hana hofu na kiwango cha kijana wake huyo...
SIBOMANA ATOA KAULI YA KUTISHA YANGA
Winga wa Yanga, Mnyarwanda, Patrick Sibomana ambaye anaongoza kwa kufunga mabao kwa wachezaji wote wa Yanga msimu huu hadi sasa, ametoa kauli ya kibabe...
TOTO AKUBALI YAISHE YANGA
KIUNGO wa Yanga, Feisal Salum Toto amefunguka kuwa kuongezeka kwa wachezaji katika idara ya kiungo kutamfanya azidishe juhudi ili kuilinda nafasi yake ndani ya...
USIKOSE KESHO GAZETI LA CHAMPIONI JUMAMOSI UJUE KUHUSU KAMBI YA YANGA PAMOJA NA MCHEZO...
KESHO ndani ya CHAMPIONI Jumamosi kuna kila kitu kuhusu Simba v Azam, kambi ya Yanga huko chanzo cha kichapo ndani
NYOTA WAWILI WA AZAM FC KUIKOSA SIMBA KESHO, ISHU YA KANGWA IPO NAMNA HI
KESHO Uwanja wa Taifa hapatoshi, ambapo Simba itamenyana na Azam FC kwenye mchezo wa ngao ya Jamii.Mchezo huo ni maalumu kwa ajili ya ufunguzi...
YANGA YACHOMOLEWA BETRI 2-0 NA POLISI NA TANZANIA MOSHI
Kikosi cha Polisi Tanzania kimeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Yanga katika mchezo wa kirafiki uliochezwa Uwanja wa Ushirika huko Moshi.Yanga imepoteza...